Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Huwezi kuongelea mwanza ukapatoa kwenu misungwi......mbona daraja la JPM Kila siku tunalisifia humu ,, wakati halipo jijj la mwanza,,,,,,,,,.......maji na umeme ni muhimu sana ,......huko nyakagwe Kwa Kina intelligent Hamna maji Wala umeme
Mwanza sidhani Kama Kuna sehemu haina access ya umeme, hata kwa kina intelligent upo labda Kama hawajataka tu kuvuta
 
Huwezi kuongelea mwanza ukapatoa kwenu misungwi......mbona daraja la JPM Kila siku tunalisifia humu ,, wakati halipo jijj la mwanza,,,,,,,,,.......maji na umeme ni muhimu sana ,......huko nyakagwe Kwa Kina intelligent Hamna maji Wala umeme
Nyakagwe umeme upo tangu 2019 labda useme mwasonge tyr nguzo zimeshasimikwa mda wwte umeme utawaka
 
Guess where
IMG20221015181814.jpg
 
Hizi chumvi bro ... japokuwa sipo mwanza muda .ila siamini kama wasema kweli
Siwez kukulisha matango pori mkuu karibu hujionee mwenyewe nilikuwa na mwezi sinaenda huko nyegezi nikaona leo nipite na pia nilikuwa nataka kuangalia maendeleo ya nyegezi bus terminus, lakini nilichojionea huko nyegezi ni balaa tu, kama usipoona magorofa yakipanda, basi kuna mabati kwenye mabango yameandikwa commercial building kila sehemu ni miradi ya magorofa tupu.
Mwanza cbd imesimama lakini nyegezi inakimbizana na muda, salute sana nyegezi kwa speed ya maendeleo.
 
Siwez kukulisha matango pori mkuu karibu hujionee mwenyewe nilikuwa na mwezi sinaenda huko nyegezi nikaona leo nipite na pia nilikuwa nataka kuangalia maendeleo ya nyegezi bus terminus, lakini nilichojionea huko nyegezi ni balaa tu, kama usipoona magorofa yakipanda, basi kuna mabati kwenye mabango yameandikwa commercial building kila sehemu ni miradi ya magorofa tupu.
Mwanza cbd imesimama lakini nyegezi inakimbizana na muda, salute sana nyegezi kwa speed ya maendeleo.
Mbona hutupi update ya hotel yako ya nyota 7 capripoint na Ile ya ilemela
 
Siwez kukulisha matango pori mkuu karibu hujionee mwenyewe nilikuwa na mwezi sinaenda huko nyegezi nikaona leo nipite na pia nilikuwa nataka kuangalia maendeleo ya nyegezi bus terminus, lakini nilichojionea huko nyegezi ni balaa tu, kama usipoona magorofa yakipanda, basi kuna mabati kwenye mabango yameandikwa commercial building kila sehemu ni miradi ya magorofa tupu.
Mwanza cbd imesimama lakini nyegezi inakimbizana na muda, salute sana nyegezi kwa speed ya maendeleo.
Bas ni ...,,,,,mi niliacha tu pale jirani na namanga hospital NHIF wing .....
 
Huwez piga comfortable..lazima Kuna sehemu itabidi upige Kwa mapozi ,,,ili asikuone wa tofauti
Itabidi nimpaki sehemu sehemu then nifanye yangu coz hiyo hotel ya nyota saba ni mapinduzi makubwa ya kihotel hapa Mwanza, hiyo hotel itakuwa na undugu wa kufanana na malaika beach resort.💥💥💥💥💥 🏖
 
Back
Top Bottom