Nafikiri ndio mchakato Wa barabara ya mkuyuni-nyakato kujengwa. Tuendelee kusubiri kuona yafuatayo....Mwez wa 9 mwanzon nilikuwepo huko maeneo ya kanyerere nyumba zimepigwa mkasi balaa
Nafikiri ndio mchakato Wa barabara ya mkuyuni-nyakato kujengwa. Tuendelee kusubiri kuona yafuatayo....Mwez wa 9 mwanzon nilikuwepo huko maeneo ya kanyerere nyumba zimepigwa mkasi balaa
Nafikiri hiyo itaanza kujengwa mapema maana ni tanroad na sio tactic.Nafikiri ndio mchakato Wa barabara ya mkuyuni-nyakato kujengwa. Tuendelee kusubiri kuona yafuatayo....
CBD Sio maghorofa tu .na Hilo ndio linalowachanganya watu ... Kuna maana ya CBD zaidi kuwa na maghorofaUnajua vizuri maana ya CBD?
N kwel ila ili cbd iwe na muoenkn mzur au ivutie huwez kuach magorofa unateganish vip cbd na magorof au jiji na magorof sjaon jiji km ilo dunianCBD Sio maghorofa tu .na Hilo ndio linalowachanganya watu ... Kuna maana ya CBD zaidi kuwa na maghorofa
Atleast ungesem sio lazm yawe marefu ila iwe na mpangilio mzurCBD Sio maghorofa tu .na Hilo ndio linalowachanganya watu ... Kuna maana ya CBD zaidi kuwa na maghorofa
Mi ninachojua CBD Huwa inakuwaga Moja ..,...Cha zaidi miji mikubwa iliyopangwa inakuwaga na financial district,CBD na , industrial park,......lakin sisi tunashindwa kuvitofautisha ...mfano dar CBD ni kariakoo, financial district ni Posta na industrial park ni mikocheniKirumba ni extension ya Mwanza CBD kulingana na Mwanza city master plan, buzuruga na nyegezi ndio the upcomming CBD.
Tusaidiane maana ya CBDN kwel ila ili cbd iwe na muoenkn mzur au ivutie huwez kuach magorofa unateganish vip cbd na magorof au jiji na magorof sjaon jiji km ilo dunian
Nahis ishu pia n kod ya pango na kod za serkal mtu mwenye supermarket wanalip kod kubw kw serkal kulinganish na maduk ya kawaid au maching pengne serkal ipunguze kod kwao wanfny uwekezaj mkubw km pale rocky city mall kod yake ya kupanga n kubw hawez kuuza sw na maduk ya kawaid au wamachingaNa ndio maana watu hawaendi kununua vitu supermarket. Niliwahi ishi nchi flani miaka sita nikiwa nasoma huko yani bei ya mtaani na ya supermarket ni sawa. Kama kunautofauti ni visenti vichache. Sijui bongo shida nni........
N abbreviation ya central business district pia huitwa financial district ambyo maanake n commercial and business center of a city...inajumuish commercial space and officesTusaidiane maana ya CBD
Sawa ...ushaona majiji makubwa duniani ya CBD zaidi ya Moja ?N abbreviation ya central business district pia huitwa financial district ambyo maanake n commercial and business center of a city...inajumuish commercial space and offices
Mbona sometimes supermarket Kuna unafuu kuliko dukaniInatubidi na sisi tubadilike tuwe kama mataifa mengine, bidhaa za supermarkert huwa na vitu vya bei rahisi sana sema watu bado ni waoga wakizadhani huko kuna bei kubwa.
Badala atatue shida ya maji ,na umeme ,..unasema apanue barabaraYan Raisi SSH akitaka kupata credit Moja kubwa sana Kanda ya ziwa apanue barabara ya kenyata road had usagara pamoja na nyerere road had kisesa au nyanguge hili litampa credit sana kwny kampeni Kanda ya ziwa
Umeme! Wapi huko hakuna umeme?Badala atatue shida ya maji ,na umeme ,..unasema apanue barabara
Kwenu misungwi vijiji vyote vina umeme?Umeme! Wapi huko hakuna umeme?

Maji si upo mradi wa butimbaBadala atatue shida ya maji ,na umeme ,..unasema apanue barabara
Kwenu misungwi vijiji vyote vina umeme?![]()
hapa hatuongei mambo ya misungwi tunaongelea jiji letu pendwa la MwanzaSiku Mwanza ikipata barabara, nadhani utakuwa bonge moja la mjiMaji si upo mradi wa butimba
Huwezi kuongelea mwanza ukapatoa kwenu misungwi......mbona daraja la JPM Kila siku tunalisifia humu ,, wakati halipo jijj la mwanza,,,,,,,,,.......maji na umeme ni muhimu sana ,......huko nyakagwe Kwa Kina intelligent Hamna maji Wala umemehapa hatuongei mambo ya misungwi tunaongelea jiji letu pendwa la Mwanza