Protector
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 423
- 900
Nyamhongolo kwa bank inafaa kwa sababu ni mji unapanuka na hakuna matawi mengi ya bank, kama watafungua watahudumia watu wa Nyamhongolo, Igoma, Kishili, Kisesa na maeneo mengine ya jiraniKwa nyegezi ilivyo pale hata supermarket inalipa sana ttz ni nyamhongolo bado mji hajakua kivile