Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Kwa nyegezi ilivyo pale hata supermarket inalipa sana ttz ni nyamhongolo bado mji hajakua kivile
Nyamhongolo kwa bank inafaa kwa sababu ni mji unapanuka na hakuna matawi mengi ya bank, kama watafungua watahudumia watu wa Nyamhongolo, Igoma, Kishili, Kisesa na maeneo mengine ya jirani
 
Kwa banks inaweza ku apply lakin kwa supermarket naona ni tatizo kwa sababu si rahisi kwa mtu kwenda stendi kufata supermaket wakati barabarani kuna bidhaa nyingi tu tena kwa bei rahisi
Inatubidi na sisi tubadilike tuwe kama mataifa mengine, bidhaa za supermarkert huwa na vitu vya bei rahisi sana sema watu bado ni waoga wakizadhani huko kuna bei kubwa.
 
Nyamhongolo kwa bank inafaa kwa sababu ni mji unapanuka na hakuna matawi mengi ya bank, kama watafungua watahudumia watu wa Nyamhongolo, Igoma, Kishili, Kisesa na maeneo mengine ya jirani
Pale igoma kuna nmb,crdb kisesa kuna crdb
 
Inatubidi na sisi tubadilike tuwe kama mataifa mengine, bidhaa za supermarkert huwa na vitu vya bei rahisi sana sema watu bado ni waoga wakizadhani huko kuna bei kubwa.
Ila ukweli Supermarket vitu viko juu sana. Kuna siku nilikuwa natafuta tv nikaanzia pale mjini nikapata bei, nikaenda Rock City mall kuulizia tv ile ile bei yake ipo juu 300,000 zaidi ya ile ya mjini na hawapunguzi hata kidogo. Nilichoka sana na nikajisemea nitaendelea kununua vitu kwenye maduka yetu tuliyozoea ukifika mnaanza kupanga na bei kabisa.
 
Barabara nayozungumzia ni hiyo ya mkuyuni-nilepearch . Kwamba uthamini nasikia umefanyika kwa nyumba zitakazoathiriwa na mradi au ujenzi wa barabara hiyo. Nafikiri watakuwa serious na ujenzi wa barabara hii ya 9.5 Km
 
Ila ukweli Supermarket vitu viko juu sana. Kuna siku nilikuwa natafuta tv nikaanzia pale mjini nikapata bei, nikaenda Rock City mall kuulizia tv ile ile bei yake ipo juu 300,000 zaidi ya ile ya mjini na hawapunguzi hata kidogo. Nilichoka sana na nikajisemea nitaendelea kununua vitu kwenye maduka yetu tuliyozoea ukifika mnaanza kupanga na bei kabisa.
Na ndio maana watu hawaendi kununua vitu supermarket. Niliwahi ishi nchi flani miaka sita nikiwa nasoma huko yani bei ya mtaani na ya supermarket ni sawa. Kama kunautofauti ni visenti vichache. Sijui bongo shida nni........
 
Back
Top Bottom