intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 706
- 1,126
Nilisikia ilemela wametenga milion 133 kujenga hyo stand mbona ni pesa ndogo sana hyo
Ulisikia wapi mkuu, tupe taarifa sahihi, ata mimi nilisikia wametenga 500 milions.Nilisikia ilemela wametenga milion 133 kujenga hyo stand mbona ni pesa ndogo sana hyo
Kama ni hvy ni pesa nzur hyo hela nzuri sana af naomba ndani ya kituo cha daladala wazungushe ukuta patapendeza sanaUlisikia wapi mkuu, tupe taarifa sahihi, ata mimi nilisikia wametenga 500 milions.
Hakuna umuhimu wa kupiga fence mkuu, kama wanataka kupata mapato kwa kila daladala inayopakia na kushusha abiria wanaweza kufanya hivyo.Kama ni hvy ni pesa nzur hyo hela nzuri sana af naomba ndani ya kituo cha daladala wazungushe ukuta patapendeza sana
Huu ni mtazamo binafsi na unatakiwa uheshimiwe, ila kwangu Mimi nyamhongolo haifui dafu kwa kile ki stand cha nyegezi kwa namna yoyote ileIlemela wakijenga parking ya daladala hakika itakuwa stendi bora ya pili Tanzania baada ya mbezi louis(Magufuli).
Ata mimi nina mtazamo kama wako lakini kiukweli najua nyamhongolo ni better than nyegezi, sema kinachopendenzesha nyegezi terminus ni location tu, pale nyegezi ni more developed kuliko mitaa hile ya nyamhongolo.Huu ni mtazamo binafsi na unatakiwa uheshimiwe, ila kwangu Mimi nyamhongolo haifui dafu kwa kile ki stand cha nyegezi kwa namna yoyote ile
Nyamhongolo wakija kujenga na ile barabara ya Lami patapendeza sana na nyamhongolo itakuwa nzuri kadri siku zinavyoenda sasa hv watu pale wameanza kuwekeza kwa kas sanaHuu ni mtazamo binafsi na unatakiwa uheshimiwe, ila kwangu Mimi nyamhongolo haifui dafu kwa kile ki stand cha nyegezi kwa namna yoyote ile
Waweke fence humohumo watengeneze sehemu za machingaHakuna umuhimu wa kupiga fence mkuu, kama wanataka kupata mapato kwa kila daladala inayopakia na kushusha abiria wanaweza kufanya hivyo.
Labda wanatumia Force Account.Nilisikia ilemela wametenga milion 133 kujenga hyo stand mbona ni pesa ndogo sana hyo
na bora watumie force account wakandarasi hapo hapawafaiLabda wanatumia Force Account.
Mafundi was Mtaani.
Kwani kikubwa ni nini zaidi ya Pavings, vibanda vya kukaa abiria na kutenganisha daladala kwa routes.
Mradi gani ndugu?Nasikia barabara ya mkuyuni uthamini wa fidia umefanyika kwa nyumba zinazoathiriwa na mradi huo.....
Mradi gani huoNasikia barabara ya mkuyuni uthamini wa fidia umefanyika kwa nyumba zinazoathiriwa na mradi huo.....
Kwann unapenda kuleta habari nusunusu ni barabara ya mkuyuni iendayo wap?Nasikia barabara ya mkuyuni uthamini wa fidia umefanyika kwa nyumba zinazoathiriwa na mradi huo.....
Kwa banks inaweza ku apply lakin kwa supermarket naona ni tatizo kwa sababu si rahisi kwa mtu kwenda stendi kufata supermaket wakati barabarani kuna bidhaa nyingi tu tena kwa bei rahisiTatizo tunajenga stendi Kwa kuigana ... wadau wa stendi tunawaexclude ... stendi ya dodoma Hadi leo haina wapangaji tofauti na mawakala ,na migahawa micahche ,njoo mbezi ni the same .....tunashindwa kuandaa miradi Kwa kutumia participatory frame work ,,,,ndio hizi hasara ....wadau wakubwa wa stendi Africa ni mama ntilie ,machinga ,na wafanya biashara wa kati .....unapotarget banks , supermarket, stendi unakuwa ni kama unapoteza funds ..... however sikatai hata benki zinaweza kupanga lakin lazima tuangalie return ya Mradi ndani ya wakati ...........
Cha kushauri inabidi wananchi waelimike sasa kutoka kuamin kuwa machinga ndio sehemu pekee naweza pata vitu cheap Hadi kuanza kununua supermarket na kufanya miamala ya kibenki
Kwa nyegezi ilivyo pale hata supermarket inalipa sana ttz ni nyamhongolo bado mji hajakua kivileKwa banks inaweza ku apply lakin kwa supermarket naona ni tatizo kwa sababu si rahisi kwa mtu kwenda stendi kufata supermaket wakati barabarani kuna bidhaa nyingi tu tena kwa bei rahisi
Naongelea barabara ya mkuyuni kwenda NilepeaechKwann unapenda kuleta habari nusunusu ni barabara ya mkuyuni iendayo wap?
Nasikia barabara ya mkuyuni uthamini wa fidia umefanyika kwa nyumba zinazoathiriwa na mradi huo.....
Unaipenda sana nyegezi asee😂😂😂😂Kwa nyegezi ilivyo pale hata supermarket inalipa sana ttz ni nyamhongolo bado mji hajakua kivile