Huo mradi ulikuwa inaitwa strategic city development project..ulilenga majiji ya kimkakati tu ...ndio walijenga barabara nyingi pale mjiniMiradi ya serikali huwa haiaminiki, kun project fulani kabla ya tactic kwasasa nayo ilikuwa chini ya world bank ilitusaidia kupata barabara ya mwaloni, sabasaba na ya mji mwema, nyamagana walipata barabara za mjini kati, ujenzi wa dampo buhongwa na ujenzi wa madaraja ya kisasa mjini kati.
Hapa ndo tatizo lilipo, nasikia story zamani Tanga lilikuwa jiji kubwa tu, kimasihara tu ukageuka kuwa mji wa ajabu ajabu hata Mwanza isipo jipanga dodoma can come and take over, Arusha wanaangushwa na stand lakin barabara wanajitahidi tu, maji ni 24/7 everywhere, sisi ni mwanza ni wengi lakini resources zetu ni very limited na unakuwa unaona kabisa hamna mpango wa kuziboresha licha ya kuwa na wingi wa watu
Tusidanganyike watu binafsi kujenga majumba mazuri, concern yetu iwe kwenye miundombinu iliyo bora, ubora na uzuri wa miundombinu ndio ubora na uzuri wa mji
Butimba imejengwa Kwa watu wa pembeni mwa mji ambao ni karibu laki 4 ....hao wengine waliobaki wanahudumiwa na chanzo cha capripoint .Chanzo cha butimba kinajengwa kuaccomodate watu laki 4 sasa hapo ndio matatizo yanaanza kwann wasijenge kuaccomodate watu milion 1 kwasababu mwanza inakua sana
TARURA wanazingua sana,,,,hizo lami zao ni za mchongo . kabisaHata zikijengwa unaabiwa hii ni ya tarura, hao tarura wenyewe sasa wanavyojenga barabara unaeza ukasema hivi hawa watu Wako serious kweli!? Yani wanapigwa Yale ma diesel tu sijui ma bitumen halafu wanamwaga makokoto makubwa makubwa, mvua ikija kokoto zinasombwa hapo sahau kuhusu maintanace
Yes nakaa misungwii
Hamna mji Tanzania usio kuwa na vumbi ,we hujakaa dodoma ukaona shida waliyo nayoIle road ndo inataka kunifanya nihamie kiseke, mtu huezi toka ndani umependeza unapiga hatua mbili tatu Kama umevaa kiatu cheusi kinakuwa brown..ya nini kujitesa na tunaishi mara moja, yani mtu wa dodoma alie vumbi na Mimi wa Mwanza nilie vumbi
Hv buhongwa,kishiri,igoma,usagara,kisesa,fela,isangijo,ihayabuyaga,lwanhima,mhandu,nyashishi hzo sehemu hazizid watu laki 4?Butimba imejengwa Kwa watu wa pembeni mwa mji ambao ni karibu laki 4 ....hao wengine waliobaki wanahudumiwa na chanzo cha capripoint .
Ndio ..Kuna watu laki nneHv buhongwa,kishiri,igoma,usagara,kisesa,fela,isangijo,ihayabuyaga,lwanhima,mhandu,nyashishi hzo sehemu hazizid watu laki 4?
Wanazid mbali sana buhongwa tu ina watu 80000Ndio ..Kuna watu laki nne
Haimo ngoja nikutumie pdf ya tactic projectsBunda ipo kwny tier 3
Tafuta uone Bunda TC ipo mm natokea bundaHaimo ngoja nikutumie pdf ya tactic projects
Soma pdf yako vzur Bunda ipo tier no 3Miradi ya tactic.
Yeah nakumbuka sana upo sahihi mkuuHuo mradi ulikuwa inaitwa strategic city development project..ulilenga majiji ya kimkakati tu ...ndio walijenga barabara nyingi pale mjini
Hv kigongo busisi Hadi sasa limefikia asilimia ngapnjia nne Usagara to town-billion 40
njia nne kisesa town -billion 35
Interchange buzuruga -billion 90
feeder roads nyamagana km 70-bilion 100
Feeder roads ilemela km 70-bilion 100
Njia nne kisesa Usagara -billion 25
Njia nne pasiansi buzuruga bilion 15
Uwanja wa Mpira Watu 30000 bilion 50
Apartment za kisasa milima ya mbugani, mabatini na pamba -billion 150
Daraja la busisi lisingejengwa ...pesa zake zingetosha kujenga hyo miradi
Asilimia 51Hv kigongo busisi Hadi sasa limefikia asilimia ngap
ila hyo ni report ya mwez wa saba sasa hv itakuwa imesogea ila nina wasiwasi kama Hadi 2024 Litakuwa limeisha kwa mujibu wa mkatabaAsilimia 51