Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mi naamini tayari wew una exposure na miji mingi duniani.hata majiji Yana categories zake ...
Kuna normal cities na mega city .... mwanza bado hatujafika rank ya kuwa mega city .dar na yenyew bado ..sifa za mega City lazima iwe na watu milioni 10 ..na iwe na metropolitan area yenye sub urban za kutosha...ili mwanza iwe rank Moja na majiji kama Paris inatakiwa ikue na iendelezwe katika mpangilio wa kisasa ..swala je ni namna Gani tunakuza mji wetu ?!! ..
Jibu ni kuwekeza miundombinu na huduma maeneo ya pembezoni mwa mji ili kuvutia watu wawekeze huko biashara na makazi .
Kaka mwanza unakuza iende wapi? Mwanza inachohitaji ni uboreshaji wa mji Kuanzia katikati ya mji.
Dar na mza wanatakiwa watu wapigwe marufuku ujenzi wa nyumba za chini,
Kuna watu wengi tu wanaweza jenga apartments za maghorofa.
Uwepo utaratibu na usimamiwe, sio mitaa yote imejaa maduka sie ndio tunaita mji umechangamka.
Nimeshasoma serikali ya mkoa inatakiwa kujenga shopping centers angalau kila kata, anayetaka kufanya biashara anaenda kufanyia kwenye shopping area sio kila mtaa ujae maduka tu.

Unaiongelea Paris, unajua wakati iko size ya mza ilikuwaje?
Au unafikiri ilikua kwa kuhamisha stendi?
 
Kaka mwanza unakuza iende wapi? Mwanza inachohitaji ni uboreshaji wa mji Kuanzia katikati ya mji.
Dar na mza wanatakiwa watu wapigwe marufuku ujenzi wa nyumba za chini,
Kuna watu wengi tu wanaweza jenga apartments za maghorofa.
Uwepo utaratibu na usimamiwe, sio mitaa yote imejaa maduka sie ndio tunaita mji umechangamka.
Nimeshasoma serikali ya mkoa inatakiwa kujenga shopping centers angalau kila kata, anayetaka kufanya biashara anaenda kufanyia kwenye shopping area sio kila mtaa ujae maduka tu.

Unaiongelea Paris, unajua wakati iko size ya mza ilikuwaje?
Au unafikiri ilikua kwa kuhamisha stendi?
Hata mim nakuunga mkono kwenye ujenzi wa apartment...hata hvyo hatuwezi kurundika apartment eneo Moja maybe city center..mji sio makazi tu ..mji kukua sio kuongezeka makazi tu Bali pia uwekezaji mwingine kama maeneo ya viwanda, recreation center, maeneo ya taasisi,na maeneo ya shopping kama ulivyosema ..... serikali inaweza kupiga marufuku ujenzi wa nyumba za chini sawa .lakin bado Kuna watu wangependa kuishi na familia zao kwenye mansion zao utawazuia ?... otherwise kuwe na factor kama uhaba wa ardhi,na idadi kubwa ya watu kama ilivyo miji ya china
 
Mi naamini tayari wew una exposure na miji mingi duniani.hata majiji Yana categories zake ...
Kuna normal cities na mega city .... mwanza bado hatujafika rank ya kuwa mega city .dar na yenyew bado ..sifa za mega City lazima iwe na watu milioni 10 ..na iwe na metropolitan area yenye sub urban za kutosha...ili mwanza iwe rank Moja na majiji kama Paris inatakiwa ikue na iendelezwe katika mpangilio wa kisasa ..swala je ni namna Gani tunakuza mji wetu ?!! ..
Jibu ni kuwekeza miundombinu na huduma maeneo ya pembezoni mwa mji ili kuvutia watu wawekeze huko biashara na makazi .
Mikdde hivi unajua kwamba jiji la Mwanza ni kubwa mnoo mnoo sasa tukitaka tulipanue kabla hata hatujalijaza jiji, baadae utakuja kutwambie jiji lipanuke mpaka lifike huko mwigumbi shinyanga, subiri kwanza hizi wilaya zetu mbili ziwe na hadhi ya jiji kwelikweli, maeneo bado ni makubwa mno ndugu yangu

Ukitoka igombe ukiwa unaelekea kayenze unaeza dhani sio sehemu ya Mwanza Sababu ni mapori kweli kweli,

Kwa hiyo hoja yangu ni kwamba hamna haja ya kufanya expansion ya mji artificially, miji inapanuka yenyewe naturally, kwani stand ni Nini mzee!
 
Misungwi walikuwa na uwezo wa kuingia ubia na nyamagana wakajenga stendi kubwa na ya kisasa usagara.kwa sababu zifuatazo
1.ni junction ya barabara zinaunganisha mwanza na mikoa mingine
2. Ni junction ya kuelekea station Mpya ya SGR fela
3 ni nje ya mji Kwa hyo kungetoa fursa ya UKUAJI wa mji na kuharakisha ujio wa manispaa ya kisesa
4 kungeboresha usafiri,hasa route za kutoka Usagara kwenda mjini Kwa sababu now ni chache
5 n.k

Noma
 
Imagine kuna watu walitaka eti sgr ikomee fela eti tunapanua mji, nilipinga sana kaka.
Uzuri trc kumbe huwa wanaangalia na wao kwenye mitandao maana nilikuja sikia wameligusia siku moja.

Nikawauliza watu imagine unatoka shy kuja mza kwa treni sgr unatumia chini ya Lisaa kufika fela, then kutoka fela kuja mwanza unatumia masaa labda 2.
Ukichukua taxi Unaweza jikuta unalipa nauli sawa na nauli ya treni. Niliwaambia fela iwepo Station na mwanza mjini iwepo Station

Nchi za wenzetu wanajaribu kuweka hizi huduma ndani ya mji na ziko karibu karibu,

Uzuri wa Station kuwa mwanza mjini ni kuwa hapo baadae ni rahisi kufanya usafiri wa treni za mjini.
Mfano mtu anaweza kuishi kwimba na akafanya kazi mwanza mjini.

Kuna mwingine akasema eti kuna foleni kubwa sana kutoka mjini kuja nyegezi, kwahiyo stendi ikihamushwa itapunguza foleni.
Nikamjibu kumbe mabasi hayasababishi foleni maana hayafiki mjini na ukiweka stendi usagara foleni itaanzia mjini mpaka usagara maana vipanya vitaongezeka nk.
Niko UK wameanza kujenga high speed train 320km/hr hii itaunganisha miji yote ile mikubwa 3 yaani London, Birmingham na Manchester,
Pamoja na kwamba hii miji ni mipana na ina usafiri wa kila aina na barabara nyingi nzuri lakini wamehakikisha vituo vya treni vina kuwa mjini kabisa.

Mchina alishaga jaribu hsya mambo ya kupanua mji wakati anaanza kujenga reli, wakaja gundua wanachemsha kuweka vituo nje ya mji, ikabidi wajenge tena kuingiza ndani ya mji.

Nzuri
 
Mikdde hivi unajua kwamba jiji la Mwanza ni kubwa mnoo mnoo sasa tukitaka tulipanue kabla hata hatujalijaza jiji, baadae utakuja kutwambie jiji lipanuke mpaka lifike huko mwigumbi shinyanga, subiri kwanza hizi wilaya zetu mbili ziwe na hadhi ya jiji kwelikweli, maeneo bado ni makubwa mno ndugu yangu

Ukitoka igombe ukiwa unaelekea kayenze unaeza dhani sio sehemu ya Mwanza Sababu ni mapori kweli kweli,

Kwa hiyo hoja yangu ni kwamba hamna haja ya kufanya expansion ya mji artificially, miji inapanuka yenyewe naturally, kwani stand ni Nini mzee!
Sasa unadhani huko igombe na Kayenze kutakua vip kama hamna allocation ya huduma na miundombinu...ebu assume Kayenze wakajenga bandari ya kwenda ukerewe patakuwaje .Kwa sababu pale ndio Pako karibu na ukerewe
 
Mikdde hivi unajua kwamba jiji la Mwanza ni kubwa mnoo mnoo sasa tukitaka tulipanue kabla hata hatujalijaza jiji, baadae utakuja kutwambie jiji lipanuke mpaka lifike huko mwigumbi shinyanga, subiri kwanza hizi wilaya zetu mbili ziwe na hadhi ya jiji kwelikweli, maeneo bado ni makubwa mno ndugu yangu

Ukitoka igombe ukiwa unaelekea kayenze unaeza dhani sio sehemu ya Mwanza Sababu ni mapori kweli kweli,

Kwa hiyo hoja yangu ni kwamba hamna haja ya kufanya expansion ya mji artificially, miji inapanuka yenyewe naturally, kwani stand ni Nini mzee!
Hamna mji unaokuwa naturally brother.. forget it .hata dar inakuwa artificial...watu wanafata resources, opportunity,na huduma ...
 
View attachment 2384020View attachment 2384022
IMG20221011161359.jpg
IMG20221011161358.jpg
IMG20221011160108.jpg
IMG20221011160055.jpg
IMG20221011160100.jpg
 
Shida idadi kubwa ya watu wa Mwanza ni wapangaji, sasa umwambie mtu apande mti halaf ni mpangaji tu sio permanent resident atakuelewa?
Tatizo kubwa hapo sio upangaji bali ni ubinafsi, mche wa mchongoma au mjakaranda ambayo inastawi vizuri sana mwanza ni shilingi elfu moja na haihitaji maji mengi na kama utaipanda kipindi cha mvua hauta hangaika kumwagilia.

Lakini ukiwaza tu kwamba hapo ulipo umepanga sio kwako kwa maana hiyo unampandia mwenye nyumba ndio tatizo linaanzia hapo. Lakini kiuhalisia mti utakaopanda utanufaisha dunia mzima.
 
Hamna mji unaokuwa naturally brother.. forget it .hata dar inakuwa artificial...watu wanafata resources, opportunity,na huduma ...
Mwanza na Dar zinakuwa naturally ila Dodoma ndo artificial kwa kufosi kingi kuhusu igombe na kayenze huko pameshakuwa sema serikali inachelewesha miundombinu mfano kata ya Bugogwa ambayo ni igombe mwaka 2012 ilikuwa na watu 39000 utasemaje ni vijijin vp takwimu za 2022
 
Kuna li project limoja huko Arusha yule kichaa the sunk cost kalipost kule kwenye battle asee lile ghorofa ni noma hata kabla halijaisha, mbona sisi huku vighorofa vinavyojengwa ni 7floors zikizidi Sana halafu building materials ni matofali tuu wenye hela mnakwama wapi kushusha vitu vya maana, we need modern city bna

Kero ya pili ni ile miwaya ya tanesco sijui waya za simu zile around the city center yani ni uchafu tuu
 
Kuna li project limoja huko Arusha yule kichaa the sunk cost kalipost kule kwenye battle asee lile ghorofa ni noma hata kabla halijaisha, mbona sisi huku vighorofa vinavyojengwa ni 7floors zikizidi Sana halafu building materials ni matofali tuu wenye hela mnakwama wapi kushusha vitu vya maana, we need modern city bna

Kero ya pili ni ile miwaya ya tanesco sijui waya za simu zile around the city center yani ni uchafu tuu
Ile institution investment.iliyo chini ya serikali...ni makao makuu ya umoja wa posta Africa..Wala hata usiogope .
 
Hata mim nakuunga mkono kwenye ujenzi wa apartment...hata hvyo hatuwezi kurundika apartment eneo Moja maybe city center..mji sio makazi tu ..mji kukua sio kuongezeka makazi tu Bali pia uwekezaji mwingine kama maeneo ya viwanda, recreation center, maeneo ya taasisi,na maeneo ya shopping kama ulivyosema ..... serikali inaweza kupiga marufuku ujenzi wa nyumba za chini sawa .lakin bado Kuna watu wangependa kuishi na familia zao kwenye mansion zao utawazuia ?... otherwise kuwe na factor kama uhaba wa ardhi,na idadi kubwa ya watu kama ilivyo miji ya china
Hao watu wataishi kwenye nyumba zilizopo, mbona ulaya wanaweza hakuna anayejenga kule hata hao footballers na pesa zao hswajengi. Kwa nini sisi tusiweze? Tuna utaratibu mbaya wa kupigia magoti matajiri ndio tatizo lilipo.
 
Mwanza na Dar zinakuwa naturally ila Dodoma ndo artificial kwa kufosi kingi kuhusu igombe na kayenze huko pameshakuwa sema serikali inachelewesha miundombinu mfano kata ya Bugogwa ambayo ni igombe mwaka 2012 ilikuwa na watu 39000 utasemaje ni vijijin vp takwimu za 2022
Na ndio imezalisha kata ya Shibula
 
Back
Top Bottom