bronze
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 430
- 803
Hata na Mimi nimeshangaa, yani let's say stend ya magufuli ingejengwa kibaha maili moja!Yaani stendi ya mwanza ijengwe usagara hio itakuwa akili au matope?
Hata na Mimi nimeshangaa, yani let's say stend ya magufuli ingejengwa kibaha maili moja!Yaani stendi ya mwanza ijengwe usagara hio itakuwa akili au matope?
Misungwi walikuwa na uwezo wa kuingia ubia na nyamagana wakajenga stendi kubwa na ya kisasa usagara.kwa sababu zifuatazoYaani stendi ya mwanza ijengwe usagara hio itakuwa akili au matope?
Imagine kuna watu walitaka eti sgr ikomee fela eti tunapanua mji, nilipinga sana kaka.Hata na Mimi nimeshangaa, yani let's say stend ya magufuli ingejengwa kibaha maili moja!
Mkuu wasafiri wanaishi mza kwa nini stendi ukaweke usagara?Misungwi walikuwa na uwezo wa kuingia ubia na nyamagana wakajenga stendi kubwa na ya kisasa usagara.kwa sababu zifuatazo
1.ni junction ya barabara zinaunganisha mwanza na mikoa mingine
2. Ni junction ya kuelekea station Mpya ya SGR fela
3 ni nje ya mji Kwa hyo kungetoa fursa ya UKUAJI wa mji na kuharakisha ujio wa manispaa ya kisesa
4 kungeboresha usafiri,hasa route za kutoka Usagara kwenda mjini Kwa sababu now ni chache
5 n.k
Kwan Usagara sio mwanza?.....hata hvyo huwezi kuitenganisha Usagara na town Kwa sababu Zina mwingiliano mkubwa ..Mkuu wasafiri wanaishi mza kwa nini stendi ukaweke usagara?
Kama kuna umuhimu wa stendi usagara si wajenge yao.
Mtu unatoka ilemela kwenda kupanda basi usagara?
Mji unapanuliwa na huduma za jamii ,hamna population inayoenda kujenga makazi kama hamna facilities za huduma kwenye Hilo eneo ... nyegezi Leo pasingekuwa hvyo kama stendi isingejengwa ..unajua stendi inavutia hata uwekezaji mwingine KamHii Nadharia ya huduma mhimu za jamii kama stendi za mabasi kutaka zijengwe nje ya mji ni ya Zama za WW2, mji haupanuliwi na stendi , Yani unajenga stendi nje ya mji lengo ni kupanua mji kweli ? Mji unapanuliwa na ongezeko la watu
Unawashushia watu machakani et unapanua mji , watu wakijaa hyo sehemu unahamisha tena unapeleka Pori , aisee akili za ajabu Sana hzI ....
Nawapongeza Sana waliopambana stendi ya nyegezi ikabaki pale pale , bigup pia Kwa wale waliopambana angalau stend ikajengwa nyamhongolo sio mbaya , stendi ni sehemu ya Kupakia na kushusha abiria sio sehemu ya kurundika Magari ,
Hata Dar es salaam kulitakiwa kuwe na stendi tatu , kutokana na njia kuu zinazoingia mjini , huko mbagala kungekuwa na stendi ya Mabasi ya kusini , mbezi mabasi ya kanda ya Kati, kusini , magharibi , na kanda ya ziwa , tegeta kule kungekuwa na stendi ya Mabasi ya Kaskazini , just kurahsisha kushusha na kupakia abiria

Mwanza sio Morogoro wala dodoma au Iringa.Mji unapanuliwa na huduma za jamii ,hamna population inayoenda kujenga makazi kama hamna facilities za huduma kwenye Hilo eneo ... nyegezi Leo pasingekuwa hvyo kama stendi isingejengwa ..unajua stendi inavutia hata uwekezaji mwingine Kam
Petrostation
Hotel na lodges
car service center
Migahawa
Biashara ndogo ndogo na kubwa
Banks ..
Ukitizama buzuruga na nyegezi huwezi bisha kuwa stendi hazina impact kwenye UKUAJI wa mji
Waanze na huku kwetu buhongwa ni pa ajabu mno au hazifiki huku kwenye suburbs?Guys....nilisikia Kuna upandaji wa miti elfu 9 around the city umeshaanza au yalikuwa maneno tu.?!
🔥🔥🔥🫡 Noma sanaaView attachment 539866 a special thread for the rocky city.
let us share some photos, underconstruction projects as well as proposed projects in mwanza. NB do not take time to compare the city with other cities from tz. naanza na picha hizi then unaruhisiwa kutupia pia.....View attachment 533939 View attachment 533941 View attachment 534071 View attachment 534075 View attachment 534076 View attachment 534078
Hivi wakazi wa mwanza na swala la kupanda miti hadi msubiri mamlaka?Guys....nilisikia Kuna upandaji wa miti elfu 9 around the city umeshaanza au yalikuwa maneno tu.?!
Shida idadi kubwa ya watu wa Mwanza ni wapangaji, sasa umwambie mtu apande mti halaf ni mpangaji tu sio permanent resident atakuelewa?Hivi wakazi wa mwanza na swala la kupanda miti hadi msubiri mamlaka?
Kwa mfano kila mkazi wa mwanza akiamua kupanda na kutunza mti mmoja tu, ndani ya miaka mitatu hadi minne ijayo mwanza itakukua na at least miti milioni moja.
Fumagila kule nasikia Hadi kiwanja Cha laki Saba unapata ...ni pazuri sema maji bado ni tatizo Hadi mradi wa butimba ukamilike nahis tatizo litaisha ..Mambo vp wakuu..nahitaji kununua eneo maeneo ya kishiri fumagila.. mwenye uziefu na maeneo hayo plz naomba ufanunuz juu ya viwanja vinauzwaje huduma kama maji,umeme, hospital n.k
Mi naamini tayari wew una exposure na miji mingi duniani.hata majiji Yana categories zake ...Mwanza sio Morogoro wala dodoma au Iringa.
Mwanza ni mji mkubwa sana unaupanua uende wapi, duniani kote wanajaribu kusqueeze miji ndio maana wanajenga apartments za maghorofa marefu.
Stendi inajengwa kuhudumia wananchi, haijengwi ili petrol station na Lodge zijengwe.
Hii ni kumpa gharama msafiri za ziada badala ya kumpunguzia mzigo.
Usagara pakijaa tunahamishia stendi Hungumalwa?
Hapo buzuruga, Ilemela wajenge commercial complex kubwa iwe na ghorofa kumi au zaidi, floors za juu ziwe apartmentsYan buzuruga kama vile stand haijahama yan kuna watu balaa 😄😄😄
Idea yangu sio kila wakati tuhamishe ... inajengwa stendi ambayo Iko sustainable Kwa miaka hata 30 ijayo ..huku tukiamin kuwa Baada ya muda flan pengine technology ya usafiri ikabadilika Kwa hyo haitatubidi Tena kujenga stendi,maybe miaka ijayo usafiri wa anga utatumika sana au maybe treni au maybe private transportMwanza sio Morogoro wala dodoma au Iringa.
Mwanza ni mji mkubwa sana unaupanua uende wapi, duniani kote wanajaribu kusqueeze miji ndio maana wanajenga apartments za maghorofa marefu.
Stendi inajengwa kuhudumia wananchi, haijengwi ili petrol station na Lodge zijengwe.
Hii ni kumpa gharama msafiri za ziada badala ya kumpunguzia mzigo.
Usagara pakijaa tunahamishia stendi Hungumalwa?