intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 706
- 1,126
Ushatoka bukoba mzee?Stand zetu 2 za kisasa nyegezi na nyamhongolo zinazidi kutrend kwenye mitandao ya kijamii tumshukuru sana hayati magufuli
Ndio mzee nina weekUshatoka bukoba mzee?
Watakuwa wamesema humu, mimi najua wanapita humu hata kama hawatumii majina yao halisi.Kwenye ule mradi niliouleta hapa wa kona ya natta, pale daraja naona halmashauri wameandika kwenye hayo mabati chakavu, BOMOA, SITISHA UJENZI.
Bado sokoStand zetu 2 za kisasa nyegezi na nyamhongolo zinazidi kutrend kwenye mitandao ya kijamii tumshukuru sana hayati magufuli
Watakuwa wamesema humu, mimi najua wanapita humu hata kama hawatumii majina yao halisi.
Ndio maana huwa napenda tujadili vitu konki




Ujumbe umewafikia, hata kama hawajasoma wanaweza kuwa wameambiwaWatakuwa wamesema humu, mimi najua wanapita humu hata kama hawatumii majina yao halisi.
Ndio maana huwa napenda tujadili vitu konki
Lakin kumbuka hapo pesa Ina nguvu ...watu wa ardhi wakipigwa ten percent Sheria wanaweka pembeniUjumbe umewafikia, hata kama hawajasoma wanaweza kuwa wameambiwa
Shida ndiyo hiyo, sijui ni kwa tz pekee au Africa yote. Watu wapo radhi wapindishe sheria kwa sababu ya rushwa.Lakin kumbuka hapo pesa Ina nguvu ...watu wa ardhi wakipigwa ten percent Sheria wanaweka pembeni
Nera penyewe hupati kibali cha ujenzi kama nyumba sio Ghorofa itakuwa hapo NattaShida ndiyo hiyo, sijui ni kwa tz pekee au Africa yote. Watu wapo radhi wapindishe sheria kwa sababu ya rushwa.
Ni kama vile husema 'mi napita atakayekuja atakoma'
Watu wa tanesco naona wanahamisha nguzo kwenye barabara za kuingilia na kutokeaKumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine
Itakuwa vizuri maana kujaza hiace na costa stendi kama hiyo wakati mwingine zinachafua madhari na hadhi ya stendiKumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine
Kumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine
Mwanza CC wametumia akili kubwa, hiyo stand ya Nyabulogoya wai modernize kama stand ya simu 2000 itakuwa chanzo kingine kikubwa cha mapato. Ilemela waache wazubae tuKumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine
Nilisikia kuhusu hilo pia, na contract ni yule yule aliyejenga Nyegezi bus terminal na Mwanza city marketWadau naomben kuuliza pale mchafukuoga et wanajenga machinga complex ya kisasa?nina mwaka sijafika hayo maeneo
Watakuwa wanatutembelea humu bila kujuaKwenye ule mradi niliouleta hapa wa kona ya natta, pale daraja naona halmashauri wameandika kwenye hayo mabati chakavu, BOMOA, SITISHA UJENZI.
Wapajenge sasa Hilo vumbi la hapo si poa kwa WAKAZI wa maeneo hayoKumekucha barabara za kuingilia na kutokea stand ya nyegezi zimeanza kujengwa zile Lami uchwara zote zimevunjwa halafu kwa taarifa nilizozipata ni kuwa stand ya nyabulogoya itatumika kwa usafir wa wilayan hapahapa mwanza kama ngudu,sarawe na sehemu zingine