Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Kwan kaka hujapata tu kiwanja...,,,,Isale ikoje kimakazi, panafaa kwa kuishi?
..Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kwan kaka hujapata tu kiwanja...,,,,Isale ikoje kimakazi, panafaa kwa kuishi?
..Bro, mambo in mengi sana. Nikisimylia hapa utashangga.
Mh .pole sana ndugu yangu ,,,,makanjanja hawakosekani ..ila kama ungepata mtu mwaminifu akafanya site visit.. ulikuwa unaweza kupata kiwanja kizuri kisicho hata na utapeli ..kuna makampuni registered kabisa wanauza viwanja vilivyopimwa kwenye maeneo mazuri tu .Bro, mambo in mengi sana. Nikisimylia hapa utashangga.
Ardhi Mwanza inanuka UTAPELI uliokubuhu. Mpaka mabibi, vijana na wazee ni MATAPELI waliokubuhu.
Na hawa watu ni wengi mnooo na wanakula mpaka na viongozi wa Dola. Nilipata kiwanja Kisesa na Busenga-buswelu ili nimekuja kugundua sina changu.
Na mother anataka kisehemu cha kyishi, maana anamiaka 46 sasa hivi wakati Mimi nimetoka Mwanza 2013 kwahiyo sina picha kabisa ya Mwanza kwasasa zaidi ya kyiona mtandaoni tu.
Kisesa hakuna mradi was viwanja was Halmashauri.Mh .pole sana ndugu yangu ,,,,makanjanja hawakosekani ..ila kama ungepata mtu mwaminifu akafanya site visit.. ulikuwa unaweza kupata kiwanja kizuri kisicho hata na utapeli ..kuna makampuni registered kabisa wanauza viwanja vilivyopimwa kwenye maeneo mazuri tu .
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mara nyingi viwanja vilivyopimwa havina utapeli ,,, tofauti na hv tunavyouziana kienyeji ....Kuna makampuni nje ya halimshauri yanakuwa na miradi ya viwanja vyao tayari vimepimwa Kila kitu wnakuwa wanawauzia wananchi ..unakabidhiwa hati ya mauziano Kila kitu na ikitokea misunderstanding unaweza kwenda ofisini kwao na ukaondoa utata uliopo .Kisesa hakuna mradi was viwanja was Halmashauri.
Pili, utapeli was viwanja umechanganyika na udhulmaji. Yaani unaweza kuuziwa kiwanja halali kabisa, baadaye kiwanja hicho hicho akauziwa MTU mwingine. Hivyo hivyo hata watu 7.
Na hao watu kuwapeleka polisi au mahakamani Ni kama sebuleni kwao tu.
Na hzi kampuni Zina viwanjaKisesa hakuna mradi was viwanja was Halmashauri.
Pili, utapeli was viwanja umechanganyika na udhulmaji. Yaani unaweza kuuziwa kiwanja halali kabisa, baadaye kiwanja hicho hicho akauziwa MTU mwingine. Hivyo hivyo hata watu 7.
Na hao watu kuwapeleka polisi au mahakamani Ni kama sebuleni kwao tu.
Mkuu, nakuthibitishia hao matapeli wana watu mpaka Halmashauri na Ardhi.Na hzi kampuni Zina viwanja
Kisesa,nyanshishi,buswelu, Usagara,kishiri n.k
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Duh aisee....,, inahitajika umakini sana ,,,,,Kwa hyo Bora vya halmashauri auMkuu, nakuthibitishia hao matapeli wana watu mpaka Halmashauri na Ardhi.
Labda upate established company ambayo imeshaonesha haina scandal kwa muda mrefu.
Ila kama Ni kampuni tu hizi za BRELA za michongo kaka. Ni kuomba Mungu tu
Yes, viwanja vya miradi ya Halmashauri Ni uhakika au pia unaweza kununua kwa MTU mnayefahamiana vizuri kama anauza.Duh aisee....,, inahitajika umakini sana ,,,,,Kwa hyo Bora vya halmashauri au
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Since 2005 but no any signIlo eneo ndio kuna mradi wa tampere park.
Imagine, bibi kama huyu.Duh aisee....,, inahitajika umakini sana ,,,,,Kwa hyo Bora vya halmashauri au
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni hapo hapo kilipo chuo...Hivi hayo Ujenzi wa majengo ya DIT upo pale pale kwenye eneo la chuo au eneo jipya? Naomba mniambie ili niwe nafatilia,![]()
Niltaka kuja mwezi huu, ila hao matapeli wamenipotezea mood kabisa aisee.
Mi nitanunua nikienda huko ...na lazima kuwepo na document za kutosha kuidhinisha manunuzi ....mi nakumbuka Kuna aunt yangu alilizwa viwanja viwili kipind hicho nyegezi ilikuwa bado kijijini..aliuziwa kiwanja laki 3 ... hakugive up ,,,akaenda buswelu wakati huo ni kijijini Nako 2008 ,akanunua na kujenga Hadi Renta wakaja matapeli watu wa ardhi na kujichukulia maeneo, however magufuli alipoingia madarakani viwanja vilirudi .. Kwenye manunuzi ya viwanja kunahitaji umakiniYes, viwanja vya miradi ya Halmashauri Ni uhakika au pia unaweza kununua kwa MTU mnayefahamiana vizuri kama anauza.
Inabidi uje mwenyew ufatilie Kila kitu ....Niltaka kuja mwezi huu, ila hao matapeli wamenipotezea mood kabisa aisee.
Nina MTU tayari anafuatlia kila kitu, ndio nikagundua mtandao wa hao matapeli siyo wa kitoto na Ni watu wengi mnoooo. Ingawa wako mahabusu, lakini nimegundua jamaa hawalali mahabusu, maana juzi Luna mmoja alinipigia simu SAA 1 usiku wakati Mimi najua yumo selo.
Ulaya hata ukitaka nyumba yako uibadilishe unaomba ruhusa.Ndo mana ulaya mashirika ya nyumba ndo yanajenga nyumba , Kwa standard zote , mwananchi kazi yako ni kununua au kupanga na facilities zote zinakuwepo , barabara , umeme maji n.k , bongo kila mmoja anajenga Kwa ramani yake na Kwa uelekeo anaaoona unafaa , mpak uchochoro wa kupita unakosa , mkitaka kuweka rami inabdi muendeshe bomoa bomoa tena 😁
Huwezi kupata mwekezaji kwa style hii atamuuzia nyumba nani.Awareness ni ndogo miongoni mwetu ..
Na uchache pia wa wawekezaji wa real estate
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app