Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Kumzuia mtu kujenga ni kitu kigumu ...serikali itengeneze policy maeneo yote mjini yapimwe ,na yawe chini ya mamlaka ya usimamizi.. viwanja vya kujenga nyumba binafsi viwe bei juu kuliko viwanja vya kujenga majengo ya apartment.ili mtu aone gharama ya ujenzi binafsi kuliko kununua apartmentHuwezi kupata mwekezaji kwa style hii atamuuzia nyumba nani.
Watu wakizuiwa kujenga ndio soko linakuwepo.
Hata supermarket hupata soko kama hakuna masoko ya kienyeji
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app