Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Kaka ile ni restaurant sio hotelNa lile jengo la gorofa tisa Karbu na mskit wa agha kan ambalo juu kbsa kun hotel n la NHC
Kaka ile ni restaurant sio hotelNa lile jengo la gorofa tisa Karbu na mskit wa agha kan ambalo juu kbsa kun hotel n la NHC
Ko linaishia ghorofa nane tuKumbe lile jengo linalojengwa pale ghana la ghorofa nane ni mali ya kamanga medics na wanataka kuweka hospital.
naona DIT wameupiga bati pale na watu mko kimya..we kitombile unakaa ilemela ya wapi .au shibula nn
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
naona DIT wameupiga bati pale na watu mko kimya..we kitombile unakaa ilemela ya wapi .au shibula nn
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Naona umeanza kuchanganya madesa, au umeanza utani hayo majengo na hizo hotel wamiliki wake nawajua. Alafu mali za nyanza corporation union siku hizi nawaona nyie watu wa NHC mnaanza kutia manembo yenu mtadhan mlijenga.Nadhn ulikua hujui ndo maan ulizan NHC wanajenga nyumb tu kawaid ila hayo na majengo mengne hapo mwanz n ya NHC
Hapo ndio nimeelewa🙏🙏🙏Jengo la kwanz self plaza n ubia kat ya mtu binafs na NHC,jengo is pili ilikua ubia kat ya mtu binafs na NHC ila mtu binafs alipew jengo aliendelez akashindw ikabid walikuchkue wao na kulimalizia jengo la tatu is gorofa 9 Karbu Karbu mskt wa aghakan n wao pia
Kama huu uchafu hapaUmeenda kutafuta picha chokonozi wewe mikidadi![]()


Watajenga kituo cha daladala na eneo la machingaHii stendi wakijenga hapo kituo Cha daladala itakuwa Bomba sanaView attachment 2380517
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Bado hawajamaliza kkMnaosema nyegezi terminal hamna vumbi.vipi hapaView attachment 2380312
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
So beutiful ndogo na tamuJapokuwa stendi...ni nzuri pia hatuwezi kuipa low ranksView attachment 2380313
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Hii ni imeweka sehemu ambayo bado haijawaka active sana ,but as the times goes patakua pazuri sanaHii stendi wakijenga hapo kituo Cha daladala itakuwa Bomba sanaView attachment 2380517
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Huwa nasema mwanza ni ilemela na nyamagana, nje ya hapo sio mwanza coz kuna siku, huko sengerema, misungwi, magu au ata kwimba wanaweza kuwa mkoa mpya lakini sio ilemela na nyamagana.We mtu wa misungwi .hupaswi kuzungumzia mwanza..soon mnahamishiwa mkoa Mpya wa kwimba ..baada sensa ya watu na makazi
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Nyamhongolo 2nd most expensive bus terminal in Tz, Nadhani baaya ya JPM Bus terminalHii stendi wakijenga hapo kituo Cha daladala itakuwa Bomba sanaView attachment 2380517
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kituo cha daladala hakikwepeki ni public demands wacha wajivute vute ila kituo lazimaHii stendi wakijenga hapo kituo Cha daladala itakuwa Bomba sanaView attachment 2380517
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
😁😁 Utamuweza huyo jamaa, hamna mtu wa misungwi hapaHuwa nasema mwanza ni ilemela na nyamagana, nje ya hapo sio mwanza coz kuna siku, huko sengerema, misungwi, magu au ata kwimba wanaweza kuwa mkoa mpya lakini sio ilemela na nyamagana.
Kwa hyo hapo pembeni ya majaruba karibu na kiwanda Cha pharmacy mkabala na dampo ni wapUtamuweza huyo jamaa, hamna mtu wa misungwi hapa
Ukiwa pale misungwi unaiona kabisaKwa hyo hapo pembeni ya majaruba karibu na kiwanda Cha pharmacy mkabala na dampo ni wap
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app