Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Hapana laizerg sio overland, yupo huwa anatokea mara moja moja kwa Jina jingine.Overland ndo Nani au ndo laizerg , mana wewe kama sikosei ulikuwa unatumia jina la Rock city mi nilikuwa natumia sirg ha haaaa, daah Ila hzi thread za Mwanza , tumetoka nazo mbali , kuna mwanangu Mkuu wa chuo , naye sjui alipoteleaga wapi , moja ya watu walipambana Sana kwenye thread za Mwanza Vs Arusha zile za mwanzo ๐๐
Malumbano kaleta huyu mkuu wa mkoa yalikuwa yameisha, na sasa ansongeza mapya maana anataka TANAPA nao waingie Humo.lakini malumbano yao yanatuchelewesha sana.
Tena huyu mkuu wa mkoa wa sasa ndio yuko busy hatari kutaka kuonyesha Magu hakufanya kitu sijui katumwa hivyo.All in all stand zote mbili ni nzuri mno. Kuhusu suala la airport mi naona kwa upande mwingine Kuna Ile kasumba ya kutaka kuonyesha kuwa magu hakufanya vyema kwenye suala Hilo. Ila nachokumbuka Hilo jengo lilijengwa kama jengo la mda Wakati TAA wanaweka vizuri mambo Yao kwa ajili ya kujenga jengo zuri na kubwa na nafikiri hata michoro ilikuwa tayari. Sasa mkoa na TAA wamelewa na siasa kila mtu mjuaji. Kwa mtizamo huu hatuwezi kufikia lengo. Mlengo alioegemea mkuu wa mkuu ni mlengo wenye mamlaka vile ninavyomuona, basi kama ndivyo hivyo mkoa ukubali Nini TAA wanataka.
Mimi namfahamu tangu akiwa mkuu wa mkoa wa Mara na Tanga. Maneno mengi sana kuliko vitendoTena huyu mkuu wa mkoa wa sasa ndio yuko busy hatari kutaka kuonyesha Magu hakufanya kitu sijui katumwa hivyo.
Sasa hivi anahangaika na mambo Ya chanjo, naona kupoteza muda tu.
Ambacho sielewi kwa nini badala ya kufanya kazi wanahangaika na mtu aliyekufa?
Huyu taarabu ingemfaa kuliko siasa.Mimi namfahamu tangu akiwa mkuu wa mkoa wa Mara na Tanga. Maneno mengi sana kuliko vitendo
Siioni tatizo la mkuu wa mkoa ,,,yeye kama mwakilishi wa raisi .ni jukumu lake kufatilia miradi ya maendeleo hapo alipo ..Tena huyu mkuu wa mkoa wa sasa ndio yuko busy hatari kutaka kuonyesha Magu hakufanya kitu sijui katumwa hivyo.
Sasa hivi anahangaika na mambo Ya chanjo, naona kupoteza muda tu.
Ambacho sielewi kwa nini badala ya kufanya kazi wanahangaika na mtu aliyekufa?
Wakati anakuja mza ilikuwa imeshapitishwa taa wachukue jengo waendelee na mambo yao, yeye kaja anajiita financial adviser anawaambia halmashauri waongie ubia na Amesema ataconvince na tanapa waweke mzigo nao wawe wabia,Siioni tatizo la mkuu wa mkoa ,,,yeye kama mwakilishi wa raisi .ni jukumu lake kufatilia miradi ya maendeleo hapo alipo ..
Kwa mujibu wa naibu waziri alitoa maagizo jengo kufikia December Liwe limekamilika .. bado miezi miwili kuona huo utekelezaji huo
Na anajiamini kweliHuyo mzee ameletwa kimkakati si jambo jingine ameletwa kisiasa zaidi kuliko kazi.
Aliegemea mambo ya kichungaji japo alikuwa ana piga sana kazi mungu amtangulie huko haliko alikuwa ni moja kati wa wakuu wa mikoa jembe sana, eng Gabriel.Huyu taarabu ingemfaa kuliko siasa.
Hivi yule aliyekuwepo kaondolewa sababu gani, au ulokole ulimponza?
Mkuu hilo jengo nimepita leo hapo halina dalili za kuanza ujenzi, huyo mzee we mtete ni mtu wa maneno mengi sana kuliko vitendo.Siioni tatizo la mkuu wa mkoa ,,,yeye kama mwakilishi wa raisi .ni jukumu lake kufatilia miradi ya maendeleo hapo alipo ..
Kwa mujibu wa naibu waziri alitoa maagizo jengo kufikia December Liwe limekamilika .. bado miezi miwili kuona huo utekelezaji huo
TAA ni regulator,..umiliki wa jengo unatakiwa ubaki Kwa waliojenga ,, halmashauri,,TANAPA wanakuja kuwa promotor na branding organization..mkuu ataka kutengeneza link kati ya regulator ,mmiliki na promotor ambaye kupitia terminal hyo atabrand utalii wa mwanza .sion tatizo badoWakati anakuja mza ilikuwa imeshapitishwa taa wachukue jengo waendelee na mambo yao, yeye kaja anajiita financial adviser anawaambia halmashauri waongie ubia na Amesema ataconvince na tanapa waweke mzigo nao wawe wabia,
Huoni kwamba ameanzisha tatizo jingine jipya ambalo halikuwepo?
Angesema halmashauri zilipwe pesa zao then waache kila kitu kwa taa ningemuelewa.
Anachotaka kufanya ndicho kinachoi_cost rockcity mall Kwa sasa.
Afanye mambo jengo liishe then kubrand kuje baadae๐๐๐TAA ni regulator,..umiliki wa jengo unatakiwa ubaki Kwa waliojenga ,, halmashauri,,TANAPA wanakuja kuwa promotor na branding organization..mkuu ataka kutengeneza link kati ya regulator ,mmiliki na promotor ambaye kupitia terminal hyo atabrand utalii wa mwanza .sion tatizo bado
Kama tanapa wanataka kubrand wajenge lile kubwa la 32b huko ndio watabrand, huku kwingine watabrand nini Wageni wa nje hawatashukia wala kupandia huko.TAA ni regulator,..umiliki wa jengo unatakiwa ubaki Kwa waliojenga ,, halmashauri,,TANAPA wanakuja kuwa promotor na branding organization..mkuu ataka kutengeneza link kati ya regulator ,mmiliki na promotor ambaye kupitia terminal hyo atabrand utalii wa mwanza .sion tatizo bado
Tatizo linaanzia kwetu sisi .wananchi kujiona ni wanyonge tunaonelewa na kuwa brainwashed na conspiracy theories,,,mwananchi akizuiwa msijenge sehemu flan ,tunasema nchi imeuzwa ,sijui wamepewa watu flani ..hili suala linafanya hata wataalamu wetu wenye mawazo Bora kukataliwa na wanasiasa wanaosimamia sera ili tu kuwafurahisha baadhi ya wananchi watakaowahakikishia ulaji ....Kama tanapa wanataka kubrand wajenge lile kubwa la 32b huko ndio watabrand, huku kwingine watabrand nini Wageni wa nje hawatashukia wala kupandia huko.
Utalii mza ni upuuzi tukazanie malighafi za ziwa.
Mwanza yenyewe wakizuia watu kujenga milimani, hayo mawe ni utalii tosha.
Kuna watu wengi huwa wanakuja kushangaa hayo mawe bure wanarudi makwao.
Ukitengenzwa utaratibu mzuri kama ilivyo London, halmashauri zitapiga pesa ndefu.
Watu wanajenga milimani wanawaangalia tu wakati hivyo ni nyanzo vya mapato.
JPM angekuwepo sidhani kama RC angeweka kauli kwa TAAMalumbano kaleta huyu mkuu wa mkoa yalikuwa yameisha, na sasa ansongeza mapya maana anataka TANAPA nao waingie Humo.
Ki ufupi hili jengo sio kwamba ndio litakuwa main terminal, hapana, hili jengo linajengwa ili shughuli zote zihamie hapo kwa sababu yale mabanda yanayotumika sasa ndio yanatakiwa kuvunjwa na terminal hiyo mpya itajengwa hapo kwenye mabanda.
Shughuli za Airport lazima ziendelee wakati ujenzi unaendelea.
Bila hili jengo kuisha ujenzi wa terminal mpya hautaanza, kwa hiyo inabidi liishe ili shughuli za Airport zihame kupisha site.
Advantage tuliyonayo kama Mwanza ni kwamba hili jengo kwa sababu ni zuri halitavunjwa hivyo tutakuwa na terminal 1 & 2.
Tatizo la viongozi mwanza huwa sio walafi wa opportunities,
Nssf walitaka kujenga nyumba kule Bugarika, yaani kungekuwa kuzuri kweli kule wakabishana mambo ya viwanja mpaka mradi ukafa.
Mifano ipo mingi ngoja nikae kimya.
Tuvumilie tuJPM angekuwepo sidhani kama RC angeweka kauli kwa TAA