Mwanza City: The Photo Gallery

Hivi jaman hv ile proposal ya kuanzisha wilaya ya kisesa hv tungetegemea mapato gan kwa vyovyote ilemela hawawez kuiachia stand ya nyamhongolo mm binafsi naona tuvumilien miaka 3 kisesa na usagara zitakuwa zimekua sana daraja la kigongo litakuwa limeisha tozo za magari zitatozwa na kwa upande wa reli itakuwa inaelekea ukingoni
 
Manispaa mpya itakayoanzishwa kwa sasa haitakuwa na vyanzo vya kutosha vya mapato, kwa ushauri wangu naona hizo sehemu tuzigawane sisi wa nyamagana na Ilemela kwa mchanganuo ufuatao;

Ukanda wa kisesa, bujashi na fela ziende ILEMELA.

Ukanda wa Nyashishi, usagara, bukumbi adi kigongo ziwe upande wa NYAMAGANA ili jiji lipanuke zaidi.🙏🙏🙏
 
Ikianzishwa manispaa Mpya watabuni tu mapato
 
Najua , alaf sjui Kwa nn uliutelekeza huo Uzi
 
Ikianzishwa manispaa Mpya watabuni tu mapato
Ilo ni jambo jema lakini huu muda wakiwa wanajifikiria naona hizo nyanda tuzigawane siku tukiongeza vyanzo vya mapato tutaziachia ili kutengeneza manispaa mpya kwasasa sizani ukiangalia jinsi miradi inavyosuasua duh!
 
Ilo ni jambo jema lakini huu muda wakiwa wanajifikiria naona hizo nyanda tuzigawane siku tukiongeza vyanzo vya mapato tutaziachia ili kutengeneza manispaa mpya kwasasa sizani ukiangalia jinsi miradi inavyosuasua duh!
Wakisema ziingizwe ndani watazipa mzigo pia italeta utata kimaslahi
 
Ilo ni jambo jema lakini huu muda wakiwa wanajifikiria naona hizo nyanda tuzigawane siku tukiongeza vyanzo vya mapato tutaziachia ili kutengeneza manispaa mpya kwasasa sizani ukiangalia jinsi miradi inavyosuasua duh!
Me nadhani iundwe manispaa nyengne tu, tena Manispaa ya Kisesa itakua strategic zaidi kuliko Ilemela na Nyamagana kwani Maeneo ya kisesa na Usagara yamekaa kiuwekezaji zaidi
 
Me nadhani iundwe manispaa nyengne tu, tena Manispaa ya Kisesa itakua strategic zaidi kuliko Ilemela na Nyamagana kwani Maeneo ya kisesa na Usagara yamekaa kiuwekezaji zaidi
Tatizo sina imani kama tutapata manispaa mpya kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…