intelligent man
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 706
- 1,126
Kuboresha majiji 3 mwanza,tanga na zanzibarTupeni link, na zilikuwa ni kwaajili ya nini? Tunaomba mtupe taarifa wakuu.
Kuboresha majiji 3 mwanza,tanga na zanzibarTupeni link, na zilikuwa ni kwaajili ya nini? Tunaomba mtupe taarifa wakuu.
Sio kujenga tu kwenye hifadhi ya barabara bali wameingia adi kwenye barabara.Na Mimi najikuta nashangaa Sanaa, mbona petrol station zinazidi kujengwa ndani ya hifadhi za barabara? Wanapata hizo permits kutoka wapi? Ina maana tuna viongozi wajinga kiasi hicho!
Yani mtu unashindwa kuelewa Kama wanasema Wana mpango wa kujenga njia nne Kenyatta road, kwa Nini sasa hivi wanarusu watu wanajenga masheli katika hiyo barabara tena kwa Kasi ya kutisha?
Wakuu hebu tusaidiane katika Hilo japo Mimi sio mtaalamu wa mita ngapi zinatakiwa ziachwe kwa ajili ya hifadhi ya barabara ila najua ni mita 60! Sasa huku kwetu Mwanza imekaaje?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mji utazidi kuwa wa kiswahili swahili, yani unajiuliza mbona ni Kama viongozi wana vichwa vyeupe kiasi hicho! Yani hata akili ya kawaida ya kufikiria future ya mji kwa miaka kadhaa ijayo hawana!!Sio kujenga tu kwenye hifadhi ya barabara bali wameingia adi kwenye barabara.
Hao viongozi ndio wamiliki wa hizo petrostation wanazozijenga kwenye barabara kuu ambazo zinaitaji upanuzi, nazan pia wanataka kulipana fidia kwa badae.Mji utazidi kuwa wa kiswahili swahili, yani unajiuliza mbona ni Kama viongozi wana vichwa vyeupe kiasi hicho! Yani hata akili ya kawaida ya kufikiria future ya mji kwa miaka kadhaa ijayo hawana!!
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
We uko wapi kaka..upo mwanza auHao viongozi ndio wamiliki wa hizo petrostation wanazozijenga kwenye barabara kuu ambazo zinaitaji upanuzi, nazan pia wanataka kulipana fidia kwa badae.
Mimi nipo Mwanza yangu mkuuWe uko wapi kaka..upo mwanza au
Mbona huleti picha za huko ...au busyMimi nipo Mwanza yangu mkuu
Tatizo ubize na kazi chief, nikipata muda huwa natuma miradi mbalimbali nazani kesho naweza kufanya jambo la kupiga picha kwenye mradi wa hotel ya nyota tano tuone imefika wapi pia na stendi ya nyegezi inshaallah.Mbona huleti picha za huko ...au busy
Tatizo ubize na kazi chief, nikipata muda huwa natuma miradi mbalimbali nazani kesho naweza kufanya jambo la kupiga picha kwenye mradi wa hotel ya nyota tano tuone imefika wapi pia na stendi ya nyegezi inshaallah.



Chato dc, Tarime dc, chalinze dc, korogwe tc, mpanda tc, bariadi tc, babati tc, geita tc, njombe tc, kasulu tc n.k hizi halmashauri za wilaya na miji mbona zipo kwenye miradi ya tactic sema viongozi wa halmashauri zetu za misungwi, sengerema, ukerewe, magu, kwimba na buchosa wamelala hawataki kuchangamkia fursa kama hizi kuanzia wabunge adi wakuu wa mikoa na wilaya ni vilaza tu.Pale nyashishi palitakiwa pajengwa stand ya Hiace ya kisasa nasikiaga misungwi Wana hyo plan sema ndo hvy hizi halmashauri za wilaya hazipatagi miradi ya tactics
Halmashauri ya wilaya ni chato tu zingine ni majiji manispaa na mijiChato dc, Tarime dc, chalinze dc, korogwe tc, mpanda tc, bariadi tc, babati tc, geita tc, njombe tc, kasulu tc n.k hizi halmashauri za wilaya na miji mbona zipo kwenye miradi ya tactic sema viongozi wa halmashauri zetu za misungwi, sengerema, ukerewe, magu, kwimba na buchosa wamelala hawataki kuchangamkia fursa kama hizi kuanzia wabunge adi wakuu wa mikoa na wilaya ni vilaza tu.
Sengerema, magu n.k sio miji au nini? Hapo nimekuorodheshea wilaya na miji tu sijagusa majiji wala manispaa.dc
Halmashauri ya wilaya ni chato tu zingine ni majiji manispaa na miji
Sengerema na magu ni halmashauri za wilayaSengerema, magu n.k sio miji au nini? Hapo nimekuorodheshea wilaya na miji tu sijagusa majiji wala manispaa.
Chalinze, chato n.k ni halmashauri za nn?Sengerema na magu ni halmashauri za wilaya
Miradi ya tactics ni ufadhili ..na wafadhili hawawezi kufadhili maeneo yote .. wilaya kama magu na sengerema zinapata ufadhili kwenye miradi mingine mingi tu ...sio lazima tacticsPale nyashishi palitakiwa pajengwa stand ya Hiace ya kisasa nasikiaga misungwi Wana hyo plan sema ndo hvy hizi halmashauri za wilaya hazipatagi miradi ya tactics