Hili jengo lilikuwa la muda, Mpango aliokuwa nao ni kujenga jengo kubwa, amekufa akaacha wanadesign, hii serikali iliopo wamesema design tayari ila ujenzi utaanza wakipata fedha.
Ujenzi wa hilo jengo hauwezi kuanza kama lililopo haliishi, sababu litajengwa pale yalipo mabanda ya sasa ambayo itabidi yavunjwe na shughuli zote zihamie kwenye jengo linalojengwa sasa.
Kuhusu barabara ya kenyatta, Magufuli asingeweza kuanza kujenga pamoja na daraja sababu ingekula pesa nyingi karibu trilioni moja, ni pesa nyingi sana kuitumia kwenye mradi wa mkoa mmoja wakati nchi yetu ni kubwa.