

hii ambayo Samia ndo anamaliza muda wake au 

....Kwa sera zilizopo ,,,ni impossible mpaka atokee kiongozi mwenye uthubutu na mipango safi ..then nyie si mnaomba dual carriage au 
..hyo ni eight lane broTPA ndio wakulaumiwa na hawa wawakilishi wetu huwa wanapeleka hoja gani bungeni???Hata bandari ya Mwanza Kaskazini, yaani mnazindua meli mpya bandari bado ina touches za Mkoloni!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuombe uzima mkuu
Nchi yetu inaviongozi wasiokuwa na uzalendo pia hawana maono hii kitu ingewekwa barabara ya kenyata au nyerere road mitaa ya buzuruga hakika jiji lingevutia.Jiji kama dar ..nalo ndo Lina struggle kujenga kimara express way . ambayo hata machoni haipendezi . majiji yetu yamakaa kilocal sana
Ona Kenya wenzetu..msiseme sijui pesa sijui nini ...laumuni viongozi wetuView attachment 2364966
Mkuu tuombe kwanza kitu ambacho hatuna hayo mengine tukisha pata tusiyokuwa nayo kwa sasa.hii ambayo Samia ndo anamaliza muda wake au
....Kwa sera zilizopo ,,,ni impossible mpaka atokee kiongozi mwenye uthubutu na mipango safi ..then nyie si mnaomba dual carriage au
..hyo ni eight lane bro
Ni kweli kabisa tuombe kitu ambacho hatuna ..lakin haituzuii kuomba kitu ambacho ni Cha kisasa na kinaendana na hadhi ya mji husika ..kama ni hvyo hakutakuwa na tofauti kati mji wa sumbawanga wenye four lane na jiji la mwanza ambalo nalo linaomba four lane ..Mkuu tuombe kwanza kitu ambacho hatuna hayo mengine tukisha pata tusiyokuwa nayo kwa sasa.
Hizo ndio tulipata tukajenga soko la mjini kati, stendi ya nyegezi, stendi ya nyamhongolo, mahegesho ya malori nyamhongolo, ujenzi wa dampo la buhongwa na daraja la masai pale mjini kati.Hivi zile pesa walizosemaga wamekopa kwa ajili ya kuboresha miji ya mwanza,tanga na zanzibar walipelekaga wap 😄😄😄😄
Ni ukweli mtupu kutakuwa hakuna tofauti ya majiji na miji ya kawaida lakini tutafanyaje na hii ndio serikali yetu.Ni kweli kabisa tuombe kitu ambacho hatuna ..lakin haituzuii kuomba kitu ambacho ni Cha kisasa na kinaendana na hadhi ya mji husika ..kama ni hvyo hakutakuwa na tofauti kati mji wa sumbawanga wenye four lane na jiji la mwanza ambalo nalo linaomba four lane ..
Kaka kwa nini unawaza nyumba zijae kila mahali? Ulishaona miji ya wenzetu? Unaweza kuta eneo zima kama la mabatini ni miti mitupuila kutoka igombe hapo Katikati kwenda sangabuye Hadi kayenze tunahitaji miujiza pajae huko kuna mapori bado ni mengi sana
Sio hizo kaka, hizi pesa zilikopwa juzi tu na mama hazijulikani labda zimeenda zenj zoteHizo ndio tulipata tukajenga soko la mjini kati, stendi ya nyegezi, stendi ya nyamhongolo, mahegesho ya malori nyamhongolo, ujenzi wa dampo la buhongwa na daraja la masai pale mjini kati.
Hata mim napenda sana miji yenye parks na misitu Kwa ajili ya refreshments..sio mji unabanana kama dar..Kaka kwa nini unawaza nyumba zijae kila mahali? Ulishaona miji ya wenzetu? Unaweza kuta eneo zima kama la mabatini ni miti mitupu
Bro hizo pesa hatujawahi kuzisikia, mkuu hachana na habari za tv za you tube😂😂😂Sio hizo kaka, hizi pesa zilikopwa juzi tu na mama hazijulikani labda zimeenda zenj zote
Ndio hizo alizoulizia jamaa, zilitangazwa na Ikulu mama alivyoenda FranceBro hizo pesa hatujawahi kuzisikia, mkuu hachana na habari za tv za you tube😂😂😂
Tupeni link, na zilikuwa ni kwaajili ya nini? Tunaomba mtupe taarifa wakuu.Ndio hizo alizoulizia jamaa, zilitangazwa na Ikulu mama alivyoenda France