Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mikdde unanichokonoa sehemu nyingi sana nakuchunia tu🤣🤣

Ndugu zako wa dodoma mmefika wapi? Nina muda sijaingia huko,
 
lile ambalo halijaisha lile lipo nyamagana karibu na ofisi za kata ya isami
Mbona Nera kuna Jengo la 10f au Nera sio Ilemela

Washakimbia Uzi ,,,,,.....wanasubiri vipicha vya kule mtumba mji wa serikali vinavyopostiwa kwenye page za wizara ndo walete
Msaada kama Tasaf et Dodoma inaizid mwanza pumbavu kabisa
 
 
Anakwambia Iringa ina majengo mengi yanayoanzia 8f na kuendelea kushinda mwanza, yaani siku hizi nikiona mtu anapost upuuzi naacha kuchangia
ila muda huo kwenye Uzi wa kahama vs njombe...tulimwambia iringa Ina majengo mengi kuliko mbeya .. alibweka na kuanza kuipondea iringa.wakati in reality iringa cbd Ina majengo mengi kuliko mbeya
 
Usije ukaja na mkwara kama wa jamaa mmoja katuambia ana picha kibao akaanza kupost picha za watu wa milimani
Sema mjini bwana ,inahitaji umakini na ustaarabu,sio kila sehemu ni ya kupiga picha ..hasa maeneo ya benk ni dangerous...mi Huwa ni mwoga sana wa kupiga picha ,maybe Niko kwenye boda au ndani ya gari ...Kwa miguu aisee siwezi
 
Sema mjini bwana ,inahitaji umakini na ustaarabu,sio kila sehemu ni ya kupiga picha ..hasa maeneo ya benk ni dangerous...mi Huwa ni mwoga sana wa kupiga picha ,maybe Niko kwenye boda au ndani ya gari ...Kwa miguu aisee siwezi
Maeneo ya bank zoom tu kwa mbali
 
Back
Top Bottom