Ngokongosha
JF-Expert Member
- Feb 9, 2011
- 3,400
- 7,610
Mikdde unanichokonoa sehemu nyingi sana nakuchunia tu🤣🤣
Ndugu zako wa dodoma mmefika wapi? Nina muda sijaingia huko,
Ndugu zako wa dodoma mmefika wapi? Nina muda sijaingia huko,
Washakimbia Uzi ,,,,,.....wanasubiri vipicha vya kule mtumba mji wa serikali vinavyopostiwa kwenye page za wizara ndo waleteMikdde unanichokonoa sehemu nyingi sana nakuchunia tu
Ndugu zako wa dodoma mmefika wapi? Nina muda sijaingia huko,
Mbona Nera kuna Jengo la 10f au Nera sio Ilemela
Msaada kama Tasaf et Dodoma inaizid mwanza pumbavu kabisaWashakimbia Uzi ,,,,,.....wanasubiri vipicha vya kule mtumba mji wa serikali vinavyopostiwa kwenye page za wizara ndo walete
Tupe link au jina la Uzi tukapachungulieMikdde unanichokonoa sehemu nyingi sana nakuchunia tu🤣🤣
Ndugu zako wa dodoma mmefika wapi? Nina muda sijaingia huko,
Wewe huujui uzi Dom CBD vs Mwanza CBD?Tupe link au jina la Uzi tukapachungulie
Kuna yule mshamba wa Njombe anayeichukia Lake zone, ndio mwenye uziTupe link au jina la Uzi tukapachungulie
Imebidi niutafuteWewe huujui uzi Dom CBD vs Mwanza CBD?
Anakwambia Iringa ina majengo mengi yanayoanzia 8f na kuendelea kushinda mwanza, yaani siku hizi nikiona mtu anapost upuuzi naacha kuchangiaKuna yule mshamba wa Njombe anayeichukia Lake zone, ndio mwenye uzi
Mwanza aisee ni balaa ujenzi umeshika Kasi kila eneo kila mtaa watu wanajenga kwa speed kubwa sanaAnakwambia Iringa ina majengo mengi yanayoanzia 8f na kuendelea kushinda mwanza, yaani siku hizi nikiona mtu anapost upuuzi naacha kuchangia
Anakwambia Iringa ina majengo mengi yanayoanzia 8f na kuendelea kushinda mwanza, yaani siku hizi nikiona mtu anapost upuuzi naacha kuchangia


ila muda huo kwenye Uzi wa kahama vs njombe...tulimwambia iringa Ina majengo mengi kuliko mbeya .. alibweka na kuanza kuipondea iringa.wakati in reality iringa cbd Ina majengo mengi kuliko mbeyaNapenda mwanangu,,unavyonarrate ulichokiexperience mtaani huko ..ila nakushauri utembee na picha sasa ili kunogesha storiMwanza aisee ni balaa ujenzi umeshika Kasi kila eneo kila mtaa watu wanajenga kwa speed kubwa sana
Sawa ngoja nije week ijayo ninunue simu nzur ya camera hii haipo vzur utashangaa Sana watu wanashambulia kujenga balaaNapenda mwanangu,,unavyonarrate ulichokiexperience mtaani huko ..ila nakushauri utembee na picha sasa ili kunogesha stori
Sawa ngoja nije week ijayo ninunue simu nzur ya camera hii haipo vzur utashangaa Sana watu wanashambulia kujenga balaa



mi hata na Simu mbaya napiga ,,,Usije ukaja na mkwara kama wa jamaa mmoja katuambia ana picha kibao akaanza kupost picha za watu wa milimani😂Sawa ngoja nije week ijayo ninunue simu nzur ya camera hii haipo vzur utashangaa Sana watu wanashambulia kujenga balaa
Sema mjini bwana ,inahitaji umakini na ustaarabu,sio kila sehemu ni ya kupiga picha ..hasa maeneo ya benk ni dangerous...mi Huwa ni mwoga sana wa kupiga picha ,maybe Niko kwenye boda au ndani ya gari ...Kwa miguu aisee siweziUsije ukaja na mkwara kama wa jamaa mmoja katuambia ana picha kibao akaanza kupost picha za watu wa milimani![]()

Nakuunga mkono kaka nimejionea mwenyeweMwanza aisee ni balaa ujenzi umeshika Kasi kila eneo kila mtaa watu wanajenga kwa speed kubwa sana
Maeneo ya bank zoom tu kwa mbaliSema mjini bwana ,inahitaji umakini na ustaarabu,sio kila sehemu ni ya kupiga picha ..hasa maeneo ya benk ni dangerous...mi Huwa ni mwoga sana wa kupiga picha ,maybe Niko kwenye boda au ndani ya gari ...Kwa miguu aisee siwezi![]()