Hahaaa iyo ruti Kisesa- Nyashishi ni noma inachafua zaidi ya 20km...
Mi nikiwa likizo Mwanza huwa nachagua zile ruti ndefu mfano Airport - Kishiri au Kisesa nakaa zangu seat ya mbele na driver naaenjoy madhari ya Mwanza nikifanya utalii wa ndani...
https://www.facebook.com/
Mradi wa kingo mto mirongo si wa kitoto, 9km za mto kwa 9b Tshs almost 1b Tshs kwa kila kilomita moja.
Proposal ya zamani ilionyesha kutakuwa na vivuko vya waenda kwa miguu na vyoo vya umma kwenye baadhi ya sehemu
ila ilemela kwny mirad ya tactics wameupiga mwingi sana soko la kisasa la kirumba pamoja na barabara km 3 kuzunguka soko na kirumba kwa ujumla barabara ya mbogamboga nyamhongolo pamoja na busenga
Nakumbuka mwak juz alipkua maguful kule nera kun muwekazaj mmoja jiji lilimtaka abomoe jengo la biashar ambyo lilikua sio gorofa kwa madai kua ile pia n cbd au katakt ya jiji inabd zijengwe gorofa tu ila cha kushangaz saiv hapo cbd wanajenga nyumba ambzo sio gorofa tena na NHC kbsa wamejenga frame km zote na sio gorofa sas iyo sheria sjui zimeondolew au vip
Kwenye master plan ndo unavyosema .lakini siku zote investment na biashara huwezi tumia force ,,,,mi kwangu ukiniuliza kuhusu maendeleo ya CBD ya mwanza..naona ni oky tu ,,,kuhusu majengo yatajengwa tu Wala usiwaze