Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Kwan soko linajengwa maeneo Gani..pale kirumbailemela wanapoletewaga mirad hawanaga mzaha kabisa juz soko la kirumba watu walikuwa wanahama wanahamia soko la mda magomeni
Kwan soko linajengwa maeneo Gani..pale kirumbailemela wanapoletewaga mirad hawanaga mzaha kabisa juz soko la kirumba watu walikuwa wanahama wanahamia soko la mda magomeni
Kaka uko obsessed na sheli sana,Magufuli alikuwa na maono sana kuipa kisesa wilaya na manispaa kiukweli kwa mwanza nzima sehemu yenye sheli nyingi za mafuta ni kisesa zipo kama 20 inafuatia buhongwa
Kwanini Kisesa iwe na Shell nyingi hivyo, ina maana magari mengi yanapita huko?Magufuli alikuwa na maono sana kuipa kisesa wilaya na manispaa kiukweli kwa mwanza nzima sehemu yenye sheli nyingi za mafuta ni kisesa zipo kama 20 inafuatia buhongwa
Ndio sheli huwa zinapendezesha sana mahaliKaka uko obsessed na sheli sana,
Kisesa zilikuwepo nyingi na uwepo wa stand ya nyamhongolo nyingi sana zitajengwaKwanini Kisesa iwe na Shell nyingi hivyo, ina maana magari mengi yanapita huko?
Kwenye kuweka kingo mto mirongo nafikiri bomoabomoa itahusika baadhi ya sehemuNipo hapa butimba naona nyamagana wamepewa billion 36 za pesa za tactics ujenzi wa barabara ya Buhongwa to igoma,soko la kisasa mkuyuni pamoja na ujenzi wa mto mirongo
Vip barabara ya mkuyuni nyakato yenyewe haiko tactics?!Nipo hapa butimba naona nyamagana wamepewa billion 36 za pesa za tactics ujenzi wa barabara ya Buhongwa to igoma,soko la kisasa mkuyuni pamoja na ujenzi wa mto mirongo
Haiko tactic iko kwenye bajeti ya serikali ya kawaidaVip barabara ya mkuyuni nyakato yenyewe haiko tactics?!
iyo ipo kwa tanroad wamepewaVip barabara ya mkuyuni nyakato yenyewe haiko tactics?!
Moja lipo floor ya 6 na kuna uwezekano wa kufika 10Kirumba zikijengwa barabara itakuwa ya tofauti, kwanza imeongezwa kwenye CBD.
Kirumba itakuwa na masoko wawili makubwa.
Kirumba kuna mall.
Uwanja wa CCM Kirumba ukikarabatiwa itakuwa bomba.
Kirumba kuna hoteli.
Si muda mrefu tutaanza kuona majengo marefu kirumba, kama nhc wana akili waingie ubia na wenye vijengo vya hovyo wajenge apartments na sehemu za biashara
Hizo mita 500 hapo katikati kuna na nini au inakuwa open space, maana mita 500 sio mchezo i nyingi sanaLeo pale kwny mrad wa butimba makamu wa Raisi mpango ametoa onyo kuwa tangu aje mwanza kuna utitiri wa ujenzi wa sheli za mafuta karibu na makaz ya watu kwan sheli inatakiwa ijengwe mita 500 kutoka makaz ya watu
Vituo vya mafuta havizidi 10.labda kama anavihesabu navya nyamongoroKwanini Kisesa iwe na Shell nyingi hivyo, ina maana magari mengi yanapita huko?
Wanasiasa ni kuongea tu lakini utekelezaji ni hovyo..hiyo Sheria si imekuwepo Toka miaka. .aliyetoa permit ni nani ...mpaka kituo kuwepo hapo maana yake kimepitia taasisi zote za udhibiti kuanzia ewura ,nemc nkHizo mita 500 hapo katikati kuna na nini au inakuwa open space, maana mita 500 sio mchezo i nyingi sana
Nyamhongolo