Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Makoroboi
20220915_132438.jpg
20220915_132422.jpg
20220915_132445.jpg
 
Nawish ingekua ivo ila majengo meng hapo n ya mda natamn uksem mijengo tuone kwel sio ayo ya mda...nipo dom na nmetok chuga kule kwel majengo yanashushw sjui wawekaz mwanz wanakwama wap..suburb mwanza zinakua San kulko mji wowote tanzania ishu n hapo cbd
 
aliekua mkoa wa mwanza mhandis Gabriel aliagiza barabar za kuzunguk stend zijengwe kwa lami stend ikikamilka na barbar ziwe tayr ila mpka sas hawajaanz ikikamilka lianze vumb km nyamhongolo wakat wanajua kbsa lami inaitajik na serkal fedha....wabongo wanapend mpka wasukumwe wanachelewesh maendeleo
 
Nawish ingekua ivo ila majengo meng hapo n ya mda natamn uksem mijengo tuone kwel sio ayo ya mda...nipo dom na nmetok chuga kule kwel majengo yanashushw sjui wawekaz mwanz wanakwama wap..suburb mwanza zinakua San kulko mji wowote tanzania ishu n hapo cbd
Kwan mwanza Mara ya mwisho kuwapo ilikuwa Lin!?
 
Nakumbuka mwak juz alipkua maguful kule nera kun muwekazaj mmoja jiji lilimtaka abomoe jengo la biashar ambyo lilikua sio gorofa kwa madai kua ile pia n cbd au katakt ya jiji inabd zijengwe gorofa tu ila cha kushangaz saiv hapo cbd wanajenga nyumba ambzo sio gorofa tena na NHC kbsa wamejenga frame km zote na sio gorofa sas iyo sheria sjui zimeondolew au vip
 


Mradi wa kingo mto mirongo si wa kitoto, 9km za mto kwa 9b Tshs almost 1b Tshs kwa kila kilomita moja.
Proposal ya zamani ilionyesha kutakuwa na vivuko vya waenda kwa miguu na vyoo vya umma kwenye baadhi ya sehemu
 
Back
Top Bottom