Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Stendi ya buzuruga haijawahi kujaa, imehamishwa kupunguza vurugu za magari buzuruga.
vijana wa batco mm nimekuanao hapo kona ya bwiru nikiwa mwanza hua naenda kupiga sana story hapo buzuruga

80% ya gari za vijijini zilikua hazina matuta ya kubebea abiria

Mfano ni kisire ya kahama,tungis ya tabora,isamilo ya dodoma

Kunakipindi hadi gari zilikua zinashare tuta mfano gari za bariad,bunda,shirati na nyamongo
SHA_20220519_123814415_8.4.400.jpg
 
Angalia hiii picha hio Tata inapakia abiria mbele ya hotel halafu ni njian kabisa na gari zinapoingilia

Sikuwahi kupiga picha vizuri ungeona jinsi zilivyo banana
SHA_20220613_140038662_8.4.400.jpg
 
vijana wa batco mm nimekuanao hapo kona ya bwiru nikiwa mwanza hua naenda kupiga sana story hapo buzuruga

80% ya gari za vijijini zilikua hazina matuta ya kubebea abiria

Mfano ni kisire ya kahama,tungis ya tabora,isamilo ya dodoma

Kunakipindi hadi gari zilikua zinashare tuta mfano gari za bariad,bunda,shirati na nyamongoView attachment 2353961
Nchi za wenzetu stendi zao ndogo kuliko zetu, gari inakuja stendi dk 10 au 15 kabla ya safari watu wanaingia I naondoka. Sisi gari linakaa masaa 2 au zaidi linapiga debe hayo ni matumizi mabaya ya space.
Kwa tamaa zetu za pesa yawezekana huwa wanauza space kwamba mwingine hapaki, huo utakuwa utaratibu mbovu.
Ndio maana nimesema hiyo siyo garage bali ni sehemu ya kushusha na kupakia abiria.
 
Stand ya nyegezi ilipaswa kubeba mabus 500 tofaut na hii ya nyamhongoro

Kwa sasa ruti ya mwanza-sirari limebaki gap moja tu la usiku kwanzia saa moja na gari ipo George Town

Pia ruti ya mwanza-msoma imejaa kabisa
Ruti zilizobaki ni vijijini tu

Ila stand ya nyegezi inahudumia mikoa 10+ inakuaje ndogo kiasi hicho?
Kwa mimi naona idadi hiyo inatosha sana sababu magari hutumia stand kwa ajili ya kubeba abiria na kuondoka kwahiyo magari hutumia mda mchache stand mda mwingi yanakua kwenye safari, kwanza stand ikiwa ya wastani inapendeza sana huwezi kuona kama inapwaya mfano mzuri angalia ile stand ya Dodoma wamejenga kubwa lakini ukifika pale mchana hukuti magari kwahiyo unakuta stand mda mwingi imepooza tu...

Waliodesign stand ya Nyegezi Mimi naona wako sawa unatengeneza stand ya wastani nzuri na wala haipwai...
 
Hili ziwa mnalionaje? Naona kina kinazidi kuongezeka tu hili ni tatizo aisee....
Kwa hali ya kawaida kina huwa akiongezeki chenyewe labda binadam aongeze kina kwa kuchimba na kutoa takataka zinazoingia ziwani ungesema kinakinapungua apo sawa maana maji yakiongezeka lazima yachukue sehemu za fukwe...
 
Ngoja nikupe jibu.

1.
Basi zote haziondoki muda mmoja, ikiondoka moja ingine inapata gap ingawa najua hakuna siku hiyo stendi itakuwa imejaa basi hata kama ni asubuhi.

2.
Baada ya miaka 4 basi zitapungua sana hiyo njia, watu wengi watapenda kutumia treni.
Yaani sgr itakuwa imekamilika
Concern nzuri sana hiyo mzee nikweli baada ya miaka kadhaa mabasi na tren watagawana abilia kwahiyo ni wazi kabisa mabasi yatapungua...
 
Nchi za wenzetu stendi zao ndogo kuliko zetu, gari inakuja stendi dk 10 au 15 kabla ya safari watu wanaingia I naondoka. Sisi gari linakaa masaa 2 au zaidi linapiga debe hayo ni matumizi mabaya ya space.
Kwa tamaa zetu za pesa yawezekana huwa wanauza space kwamba mwingine hapaki, huo utakuwa utaratibu mbovu.
Ndio maana nimesema hiyo siyo garage bali ni sehemu ya kushusha na kupakia abiria.
Kweli kabisa unakuta gari inalala stand,hawa viongoz wetu hawajui kabisa tofaut ya garage na stand

Gari ikifika stand inapaswa ishushe abiria iende garage ikafanyiwe na services ila huku bongo mambo ni tofaut matajiri wanakua na nguvu kuliko uongozi
 
Concern nzuri sana hiyo mzee nikweli baada ya miaka kadhaa mabasi na tren watagawana abilia kwahiyo ni wazi kabisa mabasi yatapungua...
Hiii serikali yetu kwenye usafirishaji sijawahi ikubali kabisa

Viongoz wetu wengi ni wafanyabiashara kuna makampuni makubwa ya mabus,maroli na masheli yapo chini ya wanasiasa wakubwa tu

Kwa mwanza tu kunasheli zaidi 100 zipo chini ya hawa Viongoz wetu na hizo ni chache tu ninazo zifahamu mimi

Hawa Viongoz wamemwaga sana pesa kwa hawa matajiri wanaofanya biashara za usafirishaji wananunuliwa maroli,mabus na vituo vya mafuta wanajengewa

Hiii nchi inahitaji kiongoz mwenye roho kama ya magufuri
Mradi SGR ni mzuri ila....
 
ila kipindi cha samia watu wanajenga sana sio mchezo hata ukienda mjn Kati magorofa yanafumuka balaa bado masheli
 
Asee wakuu maeneo ya mitaa ya rufiji na huko milongo ni noma nilichogundua mtu kama hatembei anaeza iona Mwanza ni ya kawaida Sana ila ukiizungukia tu CBD ya hili jiji utaamini Mwanza ni lidude likuuubwa mno

Ile milima ya capripoint nako sio poa viberiti vinamwagwa kwa hasira, ni vile tu simu yangu quality ni mbovu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Asee wakuu maeneo ya mitaa ya rufiji na huko milongo ni noma nilichogundua mtu kama hatembei anaeza iona Mwanza ni ya kawaida Sana ila ukiizungukia tu CBD ya hili jiji utaamini Mwanza ni lidude likuuubwa mno

Ile milima ya capripoint nako sio poa viberiti vinamwagwa kwa hasira, ni vile tu simu yangu quality ni mbovu

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kuna mtu nimemuona stationary hapo za mtaa wa rufiji anatoa copy na vibali pamoja na mchoro wa kujenga commercial building ghorofa 11
 
Back
Top Bottom