Prakatatumba abaabaabaa
JF-Expert Member
- Aug 2, 2022
- 2,040
- 6,788
Hahahaha Mkuu umetaja home kabisa, hata hapo Nyasaka sec nimesoma form four ya kwanza kumaliza sisi, home ni hapo karibu na sokoYah Nyasaka saizi imebadilika sana hasa baada ya hiyo barabara inayoenda kuunga na Buzuruga kujengwa....
Wazazi wanaishi Nyasaka center kwa juu kidogo karibia na Shule ya Secondary Nyasaka...
Hilo eneo kwa sasa panajengeka sana mijengo ya maana pia kuna barabara ya vumbi inayounganisha barabara ile inayotoka saba saba kupita Kiseke, PPF , Nsumba hadi Buswelu na hii ya Nyasaka hadi Buzuruga...
Kazi yangu ni kuiba picture tuMlima unaotizamana na uwanja wa ndege watu wanashusha vitu vya maana sana leo nilikuwa pande hizo nimefanikiwa kuja na hizi picha kwa kutumia simu
View attachment 2350601View attachment 2350602View attachment 2350603View attachment 2350604View attachment 2350605View attachment 2350606View attachment 2350607View attachment 2350608View attachment 2350609View attachment 2350611
Kaka, kakodi drone tukuchangie pesa ya kulipa
Jiwe kuu ndio Iko maeneo ganJiwe kuuu tukiwa tunashuhudia sunset na mtoto mkaliView attachment 2350521
Kitombile alituambia kuna hoteli inajengwa, kweli ipo?Mlima unaotizamana na uwanja wa ndege watu wanashusha vitu vya maana sana leo nilikuwa pande hizo nimefanikiwa kuja na hizi picha kwa kutumia simu
View attachment 2350601View attachment 2350602View attachment 2350603View attachment 2350604View attachment 2350605View attachment 2350606View attachment 2350607View attachment 2350608View attachment 2350609View attachment 2350611
MihamaJiwe kuu ndio Iko maeneo gan
Ndio. Pembezoni mwa Malaika juzi nimepita bado wanapasua miambaKitombile alituambia kuna hoteli inajengwa, kweli ipo?
Ipo mkuu, watu Wana hasira nafikiri ilemela na Capri point zitakuwa pacha sema ilemela inapangika zaidi na vitu vilivyoko huko si vya kitotoKitombile alituambia kuna hoteli inajengwa, kweli ipo?
Ngoja nicheki kesho jmosi mkuu.Kaka, kakodi drone tukuchangie pesa ya kulipa
Hahaaaa kumbe jirani kabisa...Hahahaha Mkuu umetaja home kabisa, hata hapo Nyasaka sec nimesoma form four ya kwanza kumaliza sisi, home ni hapo karibu na soko
Angetokea KayenzeKuna jamaa tumetoka nae kisesa ni kwny Hiace ni mgen mwanza anaenda nyegezi stand tunafika buzuruga anauliza hv hatufiki stand abiria wakamwambia kaka lala kabisa stand ya nyegezi bado tumeenda tumefika mkuyun akasema hv bado tu jamaa amekiri aisee hili jiji ni kubwa mnoo aisee nikamwambia mji umeenda had misungwi
Hahaaa iyo ruti Kisesa- Nyashishi ni noma inachafua zaidi ya 20km...Kuna jamaa tumetoka nae kisesa ni kwny Hiace ni mgen mwanza anaenda nyegezi stand tunafika buzuruga anauliza hv hatufiki stand abiria wakamwambia kaka lala kabisa stand ya nyegezi bado tumeenda tumefika mkuyun akasema hv bado tu jamaa amekiri aisee hili jiji ni kubwa mnoo aisee nikamwambia mji umeenda had misungwi
Kayenze-Airport ikitandikwa lami itapendeza sana, jiji litazidi kupanuka zaidiAngetokea Kayenze