Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

View attachment 2336835
View attachment 2336836
izi barabara mbili ziamgaliwe sana pawekwe four ways saivi msongamano ni mkubwa sana mizani to town,, pia kisesa to town pia napo kuna shida tuzingalie izi barabara.. zikiwekwa vizuri kutakua na view nzur sana ever seen,.. kama makongoro road to airport iliwezekana basi na izi pia zinawezekana.... i love mwanza
Tuko kwenye upembuzi yakinifu
 
Mwanza ni fire, Regional maritime rescue coordination centre (MRCC) in Mwanza Tanzania👇👇👇
Screenshot_20220829-121558.png
Screenshot_20220829-121610.png
Screenshot_20220829-121636.png
Screenshot_20220829-121701.png
 
Yaani nikwambie hamna mtanzania anayeweza kufika mwanza akatamani kutoka bure! Pale ni sehemu sahihi ya kuishi maisha unayotaka! Ngoja uwanja wa ndege wa kimataifa uishe yaani route za Nairobi -kigali-kampala-Dar zitakuwa za kumwaga! Mwanza is centre economic point!
Leo nilkuwa kisesa nimekutana na vifaa vya ujenzi wa barabara,nikauliza wenyeji wakanambia wameanza upanuzi wa hiyo barabara kuanzia kisesa kuja mjini..
 
Leo nilkuwa kisesa nimekutana na vifaa vya ujenzi wa barabara,nikauliza wenyeji wakanambia wameanza upanuzi wa hiyo barabara kuanzia kisesa kuja mjini..
Kaka mtaani kila mtu huwa na habari zake, upanuzi wa barabara kisesa mpaka mwanza mjini ni ujenzi mkubwa sana ambao utahusisha na bomoabomoa hivyo hauwezi kufanyika kienyeji namna hiyo.
Labda kama wanaongeza njia 3 zifike kisesa hapo sawa.
 
Kaka mtaani kila mtu huwa na habari zake, upanuzi wa barabara kisesa mpaka mwanza mjini ni ujenzi mkubwa sana ambao utahusisha na bomoabomoa hivyo hauwezi kufanyika kienyeji namna hiyo.
Labda kama wanaongeza njia 3 zifike kisesa hapo sawa.
njia 3 tatu ajali tu apo four way ndio habari ya town
 
Back
Top Bottom