Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,310
- 5,968
Halmashauri,ya jiji .Huwa wananikera sana kwenye hyo ishu everyday nasema ...Tampere park ni mradi unaofadhiliwa na mamlaka ya mji wa Tampere Finland..sasa jiji wanawasubirigi Hawa wafinland ndo waje wawajengee na usikute hela zishakuja zikaliwa ..maana msemaji wa serikali alisema mradi uko tayari kuanza kutekelezwaAliomba eneo la pale clinic afanye huwekezaji wa tampere park wamembania kununua hilo eneo la halmashauri.

