Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Malaika bado naipa nafasi Kwa sababu ya facilities wa ukumbi wa mikutano,wana beach safi ,wana every suites ambayo standard and deluxe hotel inapaswa iwe
Ile picha ya MS hotel upande wa ziwa huwa inawadanganya sana, pita huku mbele amechukua eneo lote la ziwa na pia katengeneza tambarare kubwa kwaajili ya ukimbi, parking na sehemu ya michezo ya watoto, huyo malaika ni mchumba tu.
 
Ile picha ya MS hotel upande wa ziwa huwa inawadanganya sana, pita huku mbele amechukua eneo lote la ziwa na pia katengeneza tambarare kubwa kwaajili ya ukimbi, parking na sehemu ya michezo ya watoto, huyo malaika ni mchumba tu.
Duh .Bas itakuwa Bomba sana aisee
 
MED ndo Mukesh ?
Thamani ya ardhi kwa capri point inaweza kuwa imemeza fedha. Moja ya sehemu yenye gharama kubwa kwenye aridhi Tanzania kwa sqm
Kama king musukuma alinunua kiwanja milion 550 je Meb kuwaamisha wananchi wa capripoint na kubeba eneo lote hilo alitumia shilingi ngapi? Mkuu huyo si mtu kama wewe, kuna watu wanapesa zaidi ya serikali nakuambia.
 
Kama king musukuma alinunua kiwanja milion 550 je Meb kuwaamisha wananchi wa capripoint na kubeba eneo lote hilo alitumia shilingi ngapi? Mkuu huyo si mtu kama wewe, kuna watu wanapesa zaidi ya serikali nakuambia.
Aisee noma ....this month nakuja mwanza nitamake sure nafika hapo
 
Kuna tajiri mwingine anaitwa zongy yopa nasikia naye syo haba
Haitwi Med ni MEB, alifanyiwa figisu na serikali ahamishe kiwanda cha Mwanza steel apewe eneo kibaha et hapa Mwanza anasababisha air pollution, alichowaambia ni hiki hawezi kutoka nje ya Mwanza alichofanya ni kuchukua eneo kubwa nyanguge na kuporomosha magorofa ya kutisha na kuanza pia ujenzi wa kiwanda cha Mwanza steel soon kitaamia Nyaguge.
 
Haitwi Med ni MEB, alifanyiwa figisu na serikali ahamishe kiwanda cha Mwanza steel apewe eneo kibaha et hapa Mwanza anasababisha air pollution, alichowaambia ni hiki hawezi kutoka nje ya Mwanza alichofanya ni kuchukua eneo kubwa nyanguge na kuporomosha magorofa ya kutisha na kuanza pia ujenzi wa kiwanda cha Mwanza steel soon kitaamia Nyaguge.
Nomaaa
 
Nimeona hii Twitter..bus likifanya mazoezi ya kuingia na kutoka stendi ya nyamhongolo....camera hakuwa ametulia sana .. however
 
Aisee noma ....this month nakuja mwanza nitamake sure nafika hapo
Karibu mkuu utazunguka na utajionea huyu mtu si wa kawaida ata hilo soko la Mwanza linalosua sua nikikaangalia na uwekezaji wa hili lihotel lake nikajisemea tu kama angekuwa anajenga hilo soko hakika ndani ya miezi sita angekuwa ameshamilisha hilo soko bila wasiwasi.
 
Haitwi Med ni MEB, alifanyiwa figisu na serikali ahamishe kiwanda cha Mwanza steel apewe eneo kibaha et hapa Mwanza anasababisha air pollution, alichowaambia ni hiki hawezi kutoka nje ya Mwanza alichofanya ni kuchukua eneo kubwa nyanguge na kuporomosha magorofa ya kutisha na kuanza pia ujenzi wa kiwanda cha Mwanza steel soon kitaamia Nyaguge.
Mwanza steel ndo iko wapi.mi najua sayona steel na nyakato steel th
 
Karibu mkuu utazunguka na utajionea huyu mtu si wa kawaida ata hilo soko la Mwanza linalosua sua nikikaangalia na uwekezaji wa hili lihotel lake nikajisemea tu kama angekuwa anajenga hilo soko hakika ndani ya miezi sita angekuwa ameshamilisha hilo soko bila wasiwasi.
Ukienda nchi nyingine private sector Huwa wanapewa nafasi sana ... serikali upigaji mwingi
 
Back
Top Bottom