Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Vigogo wakubwa wenye pesa na sio visenti mkuu lakini wengi wanasema kikwete na wenzake, wengine wanasema bwana mapesa Moses cheyo.
Sawa mkuu,niliwahi kusikia Wananzengo wanasema pia lile jengo la Eka clif kule Isamilo Ni la mapesa sijui Kama stories au lah.
 
Katika suala la uwanja wa ndege ...palipofikia sio Haba ...katika kitu ambacho Hadi leo Huwa kinaniumiza ni kujenga Barbara ya airport wasiweke taa .sijapata kuona aisee .arusha wamejengew zikawekwa taa .shy town pale Kuna taa za kutosha ,..walikosa hela au nini tatizo bas hata halmashauri kutoa bilioni 1 mapato ya ndani ilishindwa
Arusha👇👇👇
 

Attachments

  • IMG_20220622_145832.jpg
    IMG_20220622_145832.jpg
    32.5 KB · Views: 24
Mzee mapesa ndyo nani
Walamba asali wa zaman hao, tukiwa watoto tunasimuliwa na babu zetu, ni mwanasiasa nguli wa chama cha UDP sijui pesa zake alizitoleaga wapi, baba alinisimulia alikuwa ana pesa nyingi sana, jina lake kamili ni John Moses cheyo ni msukuma wa kariba ya wakina Antony Diallo.
 
Walamba asali wa zaman hayo tukiwa watoto tunasimuliwa na babu zetu, ni mwanasiasa nguli wa chama cha UDP sijui pesa zake alizitoleaga wapi, baba alinisimulia alikuwa ana pesa nyingi sana, jina lake kamili ni Moses cheyo ni msukuma wa kariba ya wakina Antony Diallo.
Ahaa .hapo sawa
 
Wenye ofisi za ticket milango ya ofisi itakuwa nje ya stand, kwa hiyo ukiishakuwa na ticket tayari ni passport. Kama ni hivyo ustaarabu ndani ya stand utakuwepo.
Ukibahatika kutembea nchi za wenzetu kuna ustaarabu mkubwa sana kwenye stendi zao.
 
Kwamba halmashauri wamekosa strategy za mapato..hv ilemela wameshindwa nini kujenga recreation center au hata kuanzisha kampuni la usafirishaji abiria mjini ..si wangekuwa na mapato ya kutosha .... halmashauri za bongo ziko politically mkurugenzi haji na ubunifu
Katika sehemu ambapo halmashauri zote zimezubaa na kuna pesa ni uendeshaji wa usafiri mijini
 
Mwanza kumekuchaaa, ujenzi wa hotel kubwa sana maeneo ya malaika beach render inasema ni gorofa saba na sasa wapo hatua ya msingi hii ni hotel ya zaidi ya nyota tano, mama endelea kuwalambisha asali wazidi kuleta mahotel makubwa kama haya kwenye jiji la Mwanza, Ilemela kucheleee.
Maeneo hayo pia kuna ujenzi utakuja wa marine rescue center, tusisahau Airport terminal 2 hata wajisahaulishe vipi wataijenga tu kwa sasa.
 
Kipind kile magufuli anaiingia mkataba na barrik na kutengenez kampuni ya twiga ..walisema makao makuu yatakuwa mwanza .hii ishu iliishia wap
 
Mwanza kumekuchaaa, ujenzi wa hotel kubwa sana maeneo ya malaika beach render inasema ni gorofa saba na sasa wapo hatua ya msingi hii ni hotel ya zaidi ya nyota tano, mama endelea kuwalambisha asali wazidi kuleta mahotel makubwa kama haya kwenye jiji la Mwanza, Ilemela kucheleee.
Kuna hotel duniani inazid 5 star? Huo mchoro uko wap
 
Back
Top Bottom