Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza kumekuchaaa, ujenzi wa hotel kubwa sana maeneo ya malaika beach render inasema ni gorofa saba na sasa wapo hatua ya msingi hii ni hotel ya zaidi ya nyota tano, mama endelea kuwalambisha asali wazidi kuleta mahotel makubwa kama haya kwenye jiji la Mwanza, Ilemela kucheleee.
 
Mwanza kumekuchaaa, ujenzi wa hotel kubwa sana maeneo ya malaika beach render inasema ni gorofa saba na sasa wapo hatua ya msingi hii ni hotel ya zaidi ya nyota tano, mama endelea kuwalambisha asali wazidi kuleta mahotel makubwa kama haya kwenye jiji la Mwanza, Ilemela kucheleee.
Hivi malaika hotel hua inamilikiwa na nani mkuu?
 
Mwanza kumekuchaaa, ujenzi wa hotel kubwa sana maeneo ya malaika beach render inasema ni gorofa saba na sasa wapo hatua ya msingi hii ni hotel ya zaidi ya nyota tano, mama endelea kuwalambisha asali wazidi kuleta mahotel makubwa kama haya kwenye jiji la Mwanza, Ilemela kucheleee.
Good.....
 
Mwanza kumekuchaaa, ujenzi wa hotel kubwa sana maeneo ya malaika beach render inasema ni gorofa saba na sasa wapo hatua ya msingi hii ni hotel ya zaidi ya nyota tano, mama endelea kuwalambisha asali wazidi kuleta mahotel makubwa kama haya kwenye jiji la Mwanza, Ilemela kucheleee.
Unaweza kututaftia picha za site ,,
 
Wakurugenzi wanavitanzi vya mapato, na sasa hivi SSH kawabana madarasa kila Halmashauri kwa vyanzo vya mapato ya ndani. Mkurugenzi atakaeshindwa analiwa kichwa.
Kwamba halmashauri wamekosa strategy za mapato..hv ilemela wameshindwa nini kujenga recreation center au hata kuanzisha kampuni la usafirishaji abiria mjini ..si wangekuwa na mapato ya kutosha .... halmashauri za bongo ziko politically mkurugenzi haji na ubunifu
 
Kwamba halmashauri wamekosa strategy za mapato..hv ilemela wameshindwa nini kujenga recreation center au hata kuanzisha kampuni la usafirishaji abiria mjini ..si wangekuwa na mapato ya kutosha .... halmashauri za bongo ziko politically mkurugenzi haji na ubunifu
Wanazingua sana, wao wanategemea sana sana mapato ya stand dah, wakati wanaweza kufungua recreation center ya michezo ya watoto tu ikawa bei nafuu afu waone hususan kpnd cha likizo na sikukuu wataupiga mwingi sana
 
Kinacho tukwamisha ni uwanja wa ndege
Siasa ni nyingi
Mwanza kumekuchaaa, ujenzi wa hotel kubwa sana maeneo ya malaika beach render inasema ni gorofa saba na sasa wapo hatua ya msingi hii ni hotel ya zaidi ya nyota tano, mama endelea kuwalambisha asali wazidi kuleta mahotel makubwa kama haya kwenye jiji la Mwanza, Ilemela kucheleee.
 
Na nyegezi ghorofa kadhaa zinajengwa. E.g pembeni mwa kituo Cha watoto, kamanga medics pia Kuna jengo wanapandisha , etc . Kifupi kule kumekucha kabla ya kukamilika stand
Lile ghorofa oppo na stand ambapo kuna office za dar lux na nk, sijui kwa nn hawalifanyii finishing
 
Kwamba halmashauri wamekosa strategy za mapato..hv ilemela wameshindwa nini kujenga recreation center au hata kuanzisha kampuni la usafirishaji abiria mjini ..si wangekuwa na mapato ya kutosha .... halmashauri za bongo ziko politically mkurugenzi haji na ubunifu
Tatizo lingine kwenye Halmashauri zetu.
FB_IMG_1660479972491.jpg
 
Kinacho tukwamisha ni uwanja wa ndege
Siasa ni nyingi
Katika suala la uwanja wa ndege ...palipofikia sio Haba ...katika kitu ambacho Hadi leo Huwa kinaniumiza ni kujenga Barbara ya airport wasiweke taa .sijapata kuona aisee .arusha wamejengew zikawekwa taa .shy town pale Kuna taa za kutosha ,..walikosa hela au nini tatizo bas hata halmashauri kutoa bilioni 1 mapato ya ndani ilishindwa
 
Wanazingua sana, wao wanategemea sana sana mapato ya stand dah, wakati wanaweza kufungua recreation center ya michezo ya watoto tu ikawa bei nafuu afu waone hususan kpnd cha likizo na sikukuu wataupiga mwingi sana
Japo kuwa.huwa naiponda Dodoma ila halmashauri ya Dodoma Toka alipokuwepo kunambi,,wamekuwa wabunifu sana kwenye mapato tusipoangalia mwanza haitakuja kuikamata Dodoma kimapato huo ndo ukwelj nausema Kwa sababu mwanza hatuna competent leaders wenye ubunifu..Dodoma halmashauri Ina miradi hii
hotel ya nyota 3 umeisha mwaka Jana .
City Park recreation center
wanajenga business complex mji wa serikali
Wanamalizia machinga complex pale bahi road ..
Hii miradi tu inatosha kuwafanya wawe juu
 
Japo kuwa.huwa naiponda Dodoma ila halmashauri ya Dodoma Toka alipokuwepo kunambi,,wamekuwa wabunifu sana kwenye mapato tusipoangalia mwanza haitakuja kuikamata Dodoma kimapato huo ndo ukwelj nausema Kwa sababu mwanza hatuna competent leaders wenye ubunifu..Dodoma halmashauri Ina miradi hii
hotel ya nyota 3 umeisha mwaka Jana .
City Park recreation center
wanajenga business complex mji wa serikali
Wanamalizia machinga complex pale bahi road ..
Hii miradi tu inatosha kuwafanya wawe juu
Kwel aisee wapo vizuri kwenye ubunifu 🔥
 
Back
Top Bottom