Mwanza City: The Photo Gallery

Huwezi kuweka fly over kama Kuna magari machache ..., flyover zinawekwa strategically..
Sawa mkuu lkn wenzetu kenya wanafanya hivyo kwenye miji yao tena wanaweka nje ya miji kabisa wakilenga mbeleni kutakuwa na ongezeko la watu na magari tu, sisi adi tuone usumbufu mkubwa wa magari na watu ndio tunafanya, tuige mataifa ya watu huko.
 
Busenga ni kati ya Buswelu na Nyamhongolo, Busega ndio Simiyu
๐•น๐–† ๐–“๐–ž๐–†๐–’๐–†๐–‰๐–”๐–๐–Š?
 
Yaani inashangaza Lwahnima, Bulale kunapigwa gap mpaka na kata za Ilemela Kama Ilalila, Nyamadoke
 
Angelina anaupiga mwingi, pia nadhani nguvu yake ya ushawishi kwenye serikali ya awamu ya tano na sita.
Hata kiuongozi, Ilemela kwasasa wako vizuri sana.

Mwaka Jana, Wizara ya fedha ilikopesha Halmashauri 55 ( Awamu ya kwanza ) ili zipime viwanja na kuuza kwa Wananchi.

Ilemela wanapima Nyafla na Sangabuye. Na hata ambao hatuko Mwanza wanatoa updates kila kitu.


Lakini Nyamagana wanapima Lwahnima lakini haijulikani hata wanafanya Nini. Wapo wapo tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ