Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Pale kwenye ule msitu?
Yawezekana
Ikulu imehamia mlima wa Balewa kwenye ule msitu, alipopkuwa anaishi Mkuu wa Mkoa. Mkuu wa Mkoa kajengewa Nyuma ya Kanisa la KKKT Makongoro, njia ya kwenda Isamilo. Pale Capri point pamerudishwa kwa wenyewe. Labda kama mipango ilibadilishwa.
 
Ila mbona capri point wana eneo kubwa sana wana shindwa nn kuongeza jengo
 
Ikulu imehamia mlima wa Balewa kwenye ule msitu, alipopkuwa anaishi Mkuu wa Mkoa. Mkuu wa Mkoa kajengewa Nyuma ya Kanisa la KKKT Makongoro, njia ya kwenda Isamilo. Pale Capri point pamerudishwa kwa wenyewe. Labda kama mipango ilibadilishwa.
Ahaa hapo sawa
 
Ahaa hapo sawa
Nilikuwa nashangaa sana RC Mwz alikuwa anaishi sehemu nzuri kuliko Ikulu ilipo japo ni karibia na ziwani. Pale Balewa Mlimani kwa Ikulu ni sehemu sahihi kabisa.
 
Nilikuwa nashangaa sana RC Mwz alikuwa anaishi sehemu nzuri kuliko Ikulu ilipo japo ni karibia na ziwani. Pale Balewa Mlimani kwa Ikulu ni sehemu sahihi kabisa.
Milima ina uoto wa asili
Ilitakiwa na milima mingine hususana pale town nayo ingekua kama huo wa balewa
 
Hv kutoka nyamhongolo hadi buswelu ni km 9 ,,,mbona umbali kama sielewi kwa sababu kutoka national hadi buswelu ni km 5 wakati national huwa napaona ni mbali kuliko nyamhongolo
Barabara hainyooki, ila hata ikinyooka Nyamhongolo buswelu ni mbali kuliko national buswelu
 
Kitu kinachonikera.. mwanza hatuna park ,,ya halmashauri wamelala kabisa .jiji linakuwa la kizamani... wameshindwa kupaboresha garden ya Kamanga na round about ya kemondo pakawa city park....tunazidiwa na Dodoma kweli ..wakati mwanza tuna maeneo mazuri na yenye mandhari ya kuvutia kutengeneza parks...
Mradi wa Tampere park uko kwenye makaratasi tu ..hadi wapewe hela na wafinland .
Please we need park
 
Lami ikikamilika litakuwa bonge la shortcut kuelekea Ukerewa kwa kivuko. Pale nasikia muda ni mfupi sana hata bei pia ni nafuu kuliko mtu akitokea Kirumba au Mwanza North port. Nilimsikia Angelina alikuwa anapiganisha kipatikane kivuko cha pili kisaidiane na MV. Ilemela kuvusha abiria na magari. Igombe -Bezi kisiwani - Nansio.
View attachment 2272482
Daraja la busisi likiisha vile vivuko walete huku
 
Mipango mji walifeli
But hata kwa saiv walikuwa wanaweza kuzipaka hata rangi za aina moja zile nyumbani za mlimani pangevutia kidogo
Inawezekana kwa kujenga majengo kama ya kapri point na uwekezaji wa mahotel
 
Kuanzia mjini sehemu gani maana kuanzia Voil mpaka stendi ya igombe pamebana au watalipa fidia kwa majengo ya watu?
Watabomoa ,au kujenga flyover au watafanya iwe njia tatu . nadhani fesability study itatoa majibu ya nn kifanyike ..ila bomoa bomoa haikwepeki
 
Back
Top Bottom