Mwanza City: The Photo Gallery

Mwanza City: The Photo Gallery

Hivi kwa nini hadi leo hii stand ya nyamhongolo haija anza kuoperate huku imekamilika toka mwezi wa 3 kama sio 4 wadau?
 
Kuanzia mjini sehemu gani maana kuanzia Voil mpaka stendi ya igombe pamebana au watalipa fidia kwa majengo ya watu?
Pale VOIL ni shughuli, itabidi waatanue njia za milimani hasa Igogo/ Bugando na kulipa fidia kwa sbabu ndio rahisi kwa fidia, inflow na outflow ya magari iwe absorved na njia zinazotokea Bugando Bugarika na Bugando Igogo. 😁 😁 😁
 
Kilichochelewesha ni njia ya kuingilia na kutokea mabasi ndo bado wanakamilisha ujenzi wake
Basi kama ni hivyo hatq nyegezi stand kwa nn wasinge anza ujenzi wa barabara za kuingilia na kutokea by the time wanakabizi mradi kila kitu kiwe tayari kuepukana usumbufu wa nyamhongolo au kama uliopo mbezi-magufuli terminal
 
Pale VOIL ni shughuli, itabidi waatanue njia za milimani hasa Igogo/ Bugando na kulipa fidia kwa sbabu ndio rahisi kwa fidia, inflow na outflow ya magari iwe absorved na njia zinazotokea Bugando Bugarika na Bugando Igogo. 😁 😁 😁
Yan kile kinjia cha mawe kilichoweka kule igogo kuelekea bugango inabid wakifumue na wajenge barabara ya lami maana ile ni by pass nzuri sana
 
Naimani jam barabara ya Kenyatta itapungua kwa kuunganisha Barabara ya Nyerere na Kanyatta kwa hiyo miradi ya Tactic Mkuyuni - Mahina - Nyakato, Buhongwa Kishiri, Mahina - Bugarika
 
Basi kama ni hivyo hatq nyegezi stand kwa nn wasinge anza ujenzi wa barabara za kuingilia na kutokea by the time wanakabizi mradi kila kitu kiwe tayari kuepukana usumbufu wa nyamhongolo au kama uliopo mbezi-magufuli terminal
Nyegezi njia zilikuwepo toka zamani ya kuingilia na kutoka
 
K

Utakuwa na msongamano wakati wa kuingia mjini kuanzia voil itakuwa ni shida kubwa sana lkn kuanzia kituo cha pepsi hadi pale bomani kuna nafasi inatosha kabisa ila kuanzia pepsi hadi voil ndo pafinyu
Hapo kasheshe ipo aisee maana mji unazid kukua kila siku na hiyo barabara haina mbadala tofauti na njia kuu zingine
 
Hapo kasheshe ipo aisee maana mji unazid kukua kila siku na hiyo barabara haina mbadala tofauti na njia kuu zingine
Kwa miaka ijayo wapige via Duct la njia nne kupitia ziwani likamwagikie capri point milimani 😁 😁 😁 😁 😁 😁
 
Naimani jam barabara ya Kenyatta itapungua kwa kuunganisha Barabara ya Nyerere na Kanyatta kwa hiyo miradi ya Tactic Mkuyuni - Mahina - Nyakato, Buhongwa Kishiri, Mahina - Bugarika
For sure maana kama mtu anahitaji kwenda buzuruga hana haja ya kupita town
Atapitia mkuyuni
 
Back
Top Bottom