Mwanza barabara kikwazo (Ilemela imekithiri)

Mwanza barabara kikwazo (Ilemela imekithiri)

Sikuelewi unajisifu kupata 19% vile kuna mjinga Fulani amepata 5%? Mi naongelea manispaa tena ya ilemela na Nyamagana jiji;

Kuna Halmashauri zimemaliza miaka mitano hata Km 5 za lami hawajapata.

Na hiyo uliyosema Airport Igombe Kayenze,binafsi nmepita wiki mbili zimepita nikiwa naenda Kayenze nikitumia Volts,speed yangu ilikuwa 80 hadi 100 sijui ni ipi unayoongolea wewe.
Kweli kuna changamoto sana ya barabara za mitaani Mwanza lakini kwa hizi kubwa
 
Hii nimeisoma document yote mkuu, jibu tu swali langu. Kwa nini hatujengi Barabara zetu kwa mapato yetu? Manispaa gani ya kisasa barabara kama mpito ya mifugo tu huko kijijini? yaani kodi zetu ni kulipana posho maana mishahara jpm analeta


Hii im
Kuna sehemu nyingi pesa inapelekwa, mwananchi anahitaji huduma zaidi ya barabara. Kwa hiyo sioni kama ni shida kupokea msaada kwa ajili ya barabara na pesa kutoka ndani ya mapato ya halmashauri ikapelekwa kwenye maeneo mengine kama Afya, maji na elimu.

Huu mradi uliofadhili ujenzi wa barabara Ilemela ni mradi maalumu wa kuendeleza miji kutoka (World Bank). Tanzania Strategic Cities Project (TSCP) maana zaidi umejikita kwenye ujenzi wa miundo mbinu kama barabara katika miji na majiji, hatuwezi kuukata kwa kuwa mapato yandani yanaweza kujenga barabara.
 
Sikuelewi unajisifu kupata 19% vile kuna mjinga Fulani amepata 5%? Mi naongelea manispaa tena ya ilemela na Nyamagana jiji;
Tungekosa hata hiyo 5% ungetoa machozi kwenye hii thread. Muhimu tumeweka 12km ndani ya mwaka mmoja tutafika tu kwa kuwa mipango ya kuongeza km za barabara za lami ni endelevu.
 
hizo barabara usizichanganye kila moja ni barabara na inajitegemea. Buswelu - Coca, Sio Buswelu -Veta Mwanza, Buswelu -Coca inapita Busenga. Na buswelu -Gedeli sio sawa na Buswelu-Veta Mwanzaz ambayo unasema ilihamishiwa, barabara zote mbili zipo hakuna barabara inayohamishika, kila moja ijengwe maneno yaishe

Jiji na Manispaa cha kwanza ni Barabara zake kuwa lami, sio vumbi eti zinapitika, hivi kweli shule zetu zinaishia hapo, jiji au manispaa watu ni wengi hilo vumbi huoni athari za afya. Vumbi la kishiri Igoma ni hatari sana, vumbi lote jijini au maspaa ni ishu mbaya sana.


Fikirikwanza,
Katika barabara ulizotaja naona zingine zinapitika tena kwa uzuri kabisa. Mfano umesema barabara ya Buswelu Gedeli,hiyo barabara ilibadirishwa na kuwekwa coca Buswelu na hiyo ya Gedeli iko kwenye mpango wa kuwekewa lami.
Buhongwa Bulale hata ukiebda sasa hivi mkandaradi yuko kazini na Buhongwa Kishiri via Igoma nayo imechongwa majuzi kati na inapitika tu vizuri.
Labda kama hiyo ya machinjioni kweli ni mahandaki. Lakini zingine zinapitika japo kwa kiwango cha moramu.
Na hiyo uliyosema Airport Igombe Kayenze,binafsi nmepita wiki mbili zimepita nikiwa naenda Kayenze nikitumia Volts,speed yangu ilikuwa 80 hadi 100 sijui ni ipi unayoongolea wewe.
Kweli kuna changamoto sana ya barabara za mitaani Mwanza lakini kwa hizi kubwa kubwa hawa TARULA wanajaribu kwa kiasi chao.

Sent using Jamii Forums mobile app
izichanganye kila moja ni bara
 
mkuu hapa wanasoma na kuandika wetu wenye uelewa mkubwa sana na mdogo pia, Sijasema ni vibaya kupokea misaada, hiyo itakuwa uelewa wako mkuu.

NASEMA why tusijenge barabra kwa pesa zetu pia? TUsifanye msaada ndio maisha yetu bila msaada hatujengi barabara, nchi ni yetu tuijenge misaaada itakuja kujazilizia Km12 barabara msaada, huku km ZERO ujenzi kwa kodi zetu, hii ndio nasema akili zetu zinategemea msaada kwenye nchi iliyifufua azimio la arusha ujamaa na kujitegemea?


Kuna sehemu nyingi pesa inapelekwa, mwananchi anahitaji huduma zaidi ya barabara. Kwa hiyo sioni kama ni shida kupokea msaada kwa ajili ya barabara na pesa kutoka ndani ya mapato ya halmashauri ikapelekwa kwenye maeneo mengine kama Afya, maji na elimu.

Huu mradi uliofadhili ujenzi wa barabara Ilemela ni mradi maalumu wa kuendeleza miji kutoka (World Bank). Tanzania Strategic Cities Project (TSCP) maana zaidi umejikita kwenye ujenzi wa miundo mbinu kama barabara katika miji na majiji, hatuwezi kuukata kwa kuwa mapato yanandani yanaweza kujenga barabara.
 
mkuu hapa wanasoma na kuandika wetu wenye uelewa mkubwa sana na mdogo pia, Sijasema ni vibaya kupokea misaada, hiyo itakuwa uelewa wako mkuu.

NASEMA why tusijenge barabra kwa pesa zetu pia? TUsifanye msaada ndio maisha yetu bila msaada hatujengi barabara, nchi ni yetu tuijenge misaaada itakuja kujazilizia Km12 barabara msaada, huku km ZERO ujenzi kwa kodi zetu, hii ndio nasema akili zetu zinategemea msaada kwenye nchi iliyifufua azimio la arusha ujamaa na kujitegemea?

Halmashauri zote baadhi ya mapato yamehamishiwa serikali kuu kama kodi ya aridhi na majengo, kama ulipitia documents ya mapato na makisio ya budget mapato ya Halmashauri ya Ilemela kwa mwaka hayazidi Billion 45, mbali na kuwa na makadirio ya bajeti ya billion 75 kwa mwaka.

Mchanganuo wa matumizi umeoneshwa vizuri hakuna pesa inayobaki bila kazi. Utakuwa umeelewa mapato ni billion 45 na makisio ya bajeti 75 kuna upungufu wa karibia billion 30 na bado unataka wa jenge barabara kwa pesa za ndani huduma nyingine zisimame?

Hatuna undugu na World bank, ufadhili tuliopata unaweza pelekwa hata Bukavu Congo Drc kwa sababu halmashauri ina pesa za kujenga barabara.
 
1. Afya tunalipia kwa bima mkuu,
2. Maji mwaka jana walipandisha bili ili mamlaka ijitegemee kutoka 750kwa cubic metre hadi 1440TZS,
3. Elimu nguvu za Wananchi kujenga Misingi na Maboma (Uchangiaji kutoka mfuko wa jimbo pia kwenye maboma) Manispaa ni kuezeka tu, ile 6,000TZS kwa kila mtoto wa Primary elimu bure, na 25,000TZS kwa kila mtoto wa Sekondari inatoka kwa JPM, JAPO naye tutamuuliza maana CAG anasema haitoki na hivyo kuchangia kuelegeza ubora wa elimu.

Sasa barabara, tunalipia 40TZS kwa kila lita ya mafuta halafu, tunapitisha kwenye Barabara za vumbi mawe na gari kuharibika. Kodi zetu ni za ninin?
4. aana umeme tunalipia hadi tunalipia gharama za kusambaza Nguzo, Nyaya, Survey, pia tunalipia na REA 3%, yaani tunapeleka umeme vijijini sie sie ili tanesco wao bila mtaji(investment) wafanye biashara yenye faida mtaji kwa mwananchi waishio mjini kama ILEMELA NA NYAMAGANA

SWALI NI KWANINI KODI ZA NDANI HAJIJENGI BARABARA wakati huduma za jamii tunalipia pembeni au kwa mipango ya kibima?.

Hizi Barabara za BUSWELU-BUSENGA_COCA, BUSWELU-GEDELI Primary, KAHAMA-Kabusungu, IGOMA -KISHIRI-BUHONGWA, KISHIRI-FUMAGILA, MWATEX -MAHINA MKUYUNI, MAHINA MWANANCHI-BUZURUGA ni aibu kwa Serikali na ILEMELA/NYAMAGANA jiji


Kuna sehemu nyingi pesa inapelekwa, mwananchi anahitaji huduma zaidi ya barabara. Kwa hiyo sioni kama ni shida kupokea msaada kwa ajili ya barabara na pesa kutoka ndani ya mapato ya halmashauri ikapelekwa kwenye maeneo mengine kama Afya, maji na elimu.

Huu mradi uliofadhili ujenzi wa barabara Ilemela ni mradi maalumu wa kuendeleza miji kutoka (World Bank). Tanzania Strategic Cities Project (TSCP) maana zaidi umejikita kwenye ujenzi wa miundo mbinu kama barabara katika miji na majiji, hatuwezi kuukata kwa kuwa mapato yandani yanaweza kujenga barabara.
mwaka jana
 
Hapo kwenye makisio ya bajeti 75Bilions, halafu makusanyo actual collection 45Bilions, alaumiwe nani? mwananchi au Aliyeweka makisio? Ama ni poor performance ya Manispaa ya ILemela.

Yaani wanaoweka maskisio ya bajeti wamefail bigtime.

Bottom line Mwannchi analipa kodi anadai maendeleo sis msitufanye kazi yetu ni kudai Risiti tu, hata maendeleo


Halmashauri zote baadhi ya mapato yamehamishiwa serikali kuu kama kodi ya aridhi na majengo, kama ulipitia documents ya mapato na makisio ya budget mapato ya Halmashauri ya Ilemela kwa mwaka hayazidi Billion 45, mbali na kuwa na makadirio ya bajeti ya billion 75 kwa mwaka.

Mchanganuo wa matumizi umeoneshwa vizuri hakuna pesa inayobaki bila kazi. Utakuwa umeelewa mapato ni billion 45 na makisio ya bajeti 75 kuna upungufu wa karibia billion 30 na bado unataka wa jenge barabara kwa pesa za ndani huduma nyingine zisimame?

Hatuna undugu na World bank, ufadhili tuliopata unaweza pelekwa hata Bukavu Congo Drc kwa sababu halmashauri ina pesa za kujenga barabara.
 
1. Afya tunalipia kwa bima mkuu,
2. Maji mwaka jana walipandisha bili ili mamlaka ijitegemee kutoka 750kwa cubic metre hadi 1440TZS,
3. Elimu nguvu za Wananchi kujenga Misingi na Maboma (Uchangiaji kutoka mfuko wa jimbo pia kwenye maboma) Manispaa ni kuezeka tu, ile 6,000TZS kwa kila mtoto wa Primary elimu bure, na 25,000TZS kwa kila mtoto wa Sekondari inatoka kwa JPM, JAPO naye tutamuuliza maana CAG anasema haitoki na hivyo kuchangia kuelegeza ubora wa elimu.

Sasa barabara, tunalipia 40TZS kwa kila lita ya mafuta halafu, tunapitisha kwenye Barabara za vumbi mawe na gari kuharibika. Kodi zetu ni za ninin?
4. aana umeme tunalipia hadi tunalipia gharama za kusambaza Nguzo, Nyaya, Survey, pia tunalipia na REA 3%, yaani tunapeleka umeme vijijini sie sie ili tanesco wao bila mtaji(investment) wafanye biashara yenye faida mtaji kwa mwananchi waishio mjini kama ILEMELA NA NYAMAGANA

SWALI NI KWANINI KODI ZA NDANI HAJIJENGI BARABARA wakati huduma za jamii tunalipia pembeni au kwa mipango ya kibima?.

Hizi Barabara za BUSWELU-BUSENGA_COCA, BUSWELU-GEDELI Primary, KAHAMA-Kabusungu, IGOMA -KISHIRI-BUHONGWA, KISHIRI-FUMAGILA, MWATEX -MAHINA MKUYUNI, MAHINA MWANANCHI-BUZURUGA ni aibu kwa Serikali na ILEMELA/NYAMAGANA jiji



mwaka jana
http://www.ilemelamc.go.tz/storage/app/uploads/public/5d7/8b0/f04/5d78b0f046dc6745412498.pdf pitia hii link vizuri. CAG yupo ni mkaguzi mkuu wa hesabu za Umma hakuna mwaka Halmashauri imepata hati chafu.
 
Tunakusanya 45Bilions halafu hakuna hata barabra ya lami kilomita 10 inajengwa? mapato kidogo basi kila jambo linapata japo kidogo uzuri wa barabara za mitaa ya ILEMELA tunazosema hapo ni kilomita 3-6 tu inakamilika, why not kujenga kila mwaka kilomita 10 kwa vyanzo vya ndani ya ILEMELA?

SERIKALI KUU WAMECHUKUA BAADHI YA VYANZO VYA MAPATO ILI KUBORESHA MAKUSANYO hence mapato yetu, iwapo ndio chanzo pesa/mapato hayapatikani basi ni HALI YA HATARI, maana yake ni kuwa tumeporwa mapato na hatujui yanaenda wapi na kufanya nini. Tulidhani TUTAFAIDIKA kumbe unasema tumahasarika?
 
IN summary hata kama mapato ni kidogo 45Bilions chini ya makadirio kwa zaidi ya 40% sijui aliyefanya makadirio alikufa ama yupo? (maana kama ni kweli basi hajui kufanya makadirio) lazma barabara zijengwe kwa mapato yetu, hawa wafadhili watasaidia sehemu wakati sisi tunapambana. HATUWEZI KUWA NA MANISPAA AMBAYO HAIJENGI BARABARA ISIPOKUWA KWA MSAADA WA WAFADHILI WAASIPOKUJA JE? maana umesema vema kuwa sio NDUGU ZETU hao WorldBank wanaweza kwenda hata KIVU-DRC, what is our yearly own source road development strategy in ILEMELA Municipal?

Ama makadirio yalikuwa safi with margin error of 5% lakni watendaji ndio wabovu JPM ainglie kumaliza mzizwa UZEMBE
cc MD, RC, RAS
 
Kuna miradi ya kimkakati inajengwa Nyamhongolo, Soko kuu town center na Nyegezi, unajua pesa zinatoka wapi na thamani ya miradi?
wewe ujue tunaongelea barabara usirukeruke kama mwanafunzi wa sekodari anyeelekea kufeli, jpm anatumia jina la kilaza. Stendi zikikuwepo hata kama vilipwaya
 
wewe ujue tunaongelea barabara usirukeruke kama mwanafunzi wa sekodari anyeelekea kufeli, jpm anatumia jina la kilaza. Stendi zikikuwepo hata kama vilipwaya
Huwezi kuongelea barabara hujui mapato na matumizi nimeuliza swali umepanic. We are not on the same level of thinking. Thanks for your participation.
 
Ila napenda tujikite kwenye hoja, haiwezekani tusijenge barabra zetu kwa mapato yetu eti siye manispaa au jiji eti kisa mapato kidogo, yes kidogo ndio chetu, kwani unasubiria kikubwa kutoka wapi na lini?
 
Ilemela MC sijui imemegwa from Mwanza Jijji 2010 au 2011, hadi leo mmejenga kilomita ngapi za lami from own source? na wapi?, we as stakeholders seriously need to know and assess you as a public office kwa ujenzi wa miundombinu in particular today or on this thread TARMAC ROADS DEVELOPMENT in Ilemela
 
mkuu hapa wanasoma na kuandika wetu wenye uelewa mkubwa sana na mdogo pia, Sijasema ni vibaya kupokea misaada, hiyo itakuwa uelewa wako mkuu.

NASEMA why tusijenge barabra kwa pesa zetu pia? TUsifanye msaada ndio maisha yetu bila msaada hatujengi barabara, nchi ni yetu tuijenge misaaada itakuja kujazilizia Km12 barabara msaada, huku km ZERO ujenzi kwa kodi zetu, hii ndio nasema akili zetu zinategemea msaada kwenye nchi iliyifufua azimio la arusha ujamaa na kujitegemea?
Nafikiri si vizuri kusema huo ni msaada wakati serikali inalipa, pili Kama uko mza nakushauri uende ofisi husika uwaulize nafikiri huko utapata majibu.
 
Ilemela MC sijui imemegwa from Mwanza Jijji 2010 au 2011, hadi leo mmejenga kilomita ngapi za lami from own source? na wapi?, we as stakeholders seriously need to know and assess you as a public office kwa ujenzi wa miundombinu in particular today or on this thread TARMAC ROADS DEVELOPMENT in Ilemela
Hakuna mji tz unaojenga barabara zake kutokana na own source hata dar na mapato yake wanajengewa na serikali kupitia DMDP
 
Back
Top Bottom