Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,157
- 14,119
Tunataka lami jiji zimaMiradi yote mlioletewa huko bado hamtosheki!
Tunataka lami jiji zimaMiradi yote mlioletewa huko bado hamtosheki!
Anamaanisha Nile perch Nyakato opposite na Mwatex sio VicFish ya Igogo relini,,Mahina-VicFish/Mwatex.
Ina maana Nile perch Fisheries Ltd nayo ilishakuwa VicFish siku hizi maana kitambo sijatia maguu huko.
Inaishia airport mkuuKuna ile barabara ukitoka airport kuelekea Malaika beach kabla hujafika malaika penyewe unakutana na barabara ndefu kwelikweli ya rami hadi ina taa za usiku,huwa inaenda wapi ile?
mkuu ile huwa inaenda aitport wameiweka vizuri maalumu kwa viongozi wakubwa wanaotoka airtport kwenda malaika hotel kwa mtazamo wangu lakini!! ngoja wadau waje wasemeKuna ile barabara ukitoka airport kuelekea Malaika beach kabla hujafika malaika penyewe unakutana na barabara ndefu kwelikweli ya rami hadi ina taa za usiku,huwa inaenda wapi ile?
Sawa kabisa na ile ya Kijeleshi mahina kakebe na Mhandu
Sikubaliani na wewe ila nadhani imejengwa kama mbadala wa ile inayoingia ndani ya uwanja kwa waendao Igombe kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege mpya unaoendelea,,mkuu ile huwa inaenda aitport wameiweka vizuri maalumu kwa viongozi wakubwa wanaotoka airtport kwenda malaika hotel kwa mtazamo wangu lakini!! ngoja wadau waje waseme
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kwa barabara za jimbo la Nyamagana kwa ujumla ni utopolo mtupu,,Sawa kabisa na ile ya Kijeleshi mahina kakebe na Mhandu
Kwa project hizi naiona kabisa Ilemela ikienda mawinguni Nyamagana ikibaki matopeni,, yaaniWakuu hata kama sio kwa pesa za ndani ni pesa za wafadhili Ilemela kwa mwaka ulioisha imejenga Km 12 za barabara kwa kiwango cha lami. Sabasaba-Buswelu, Mjimwema-Big bite, Nera-Kigoto/ Mwaloni.
"Hatua hii imetokana na usimamizi mzuri wa miradi ya TSCP ambapo wafadhili wamekuwa wakiridhika na kuendelea kutoa fedha kila mwaka. Mpango ujao ni kujenga kwa kiwango cha lami barabara za Kahama – Kabusungu – Kayenze, Mbogamboga – Nyamadoke – Nyamhongolo, Buswelu – Cocacola na Pasiansi – Lumala – Kiseke. Tayari maandiko ya miradi hiyo yanaendelea kufanyiwa kazi na mradi wa TSCP."
Sipo kusifia kila kitu, ila ni bora kidogo kuliko kukosa kabisa, Tujiandae kwa miradi ijayo barabara za Kahama – Kabusungu – Kayenze, Mbogamboga – Nyamadoke – Nyamhongolo, Buswelu – Cocacola na Pasiansi – Lumala – Kiseke.
http://www.ilemelamc.go.tz/storage/app/uploads/public/5d7/8b0/f04/5d78b0f046dc6745412498.pdf
ILEMELA ni yetu, tushirikiane kuijenga.
Mkuu Nyamagana wanaproject ya Barabara kubwa Igoma-Kishiri-Fela (2 way) na hiyo ya Kishiri - Kagera / Buhongwa naona mpango wa pesa na fidia bado haujaeleweka tu. Above all Mama Mabulla na Mkurugenzi wake John Wanga nitawakubali zaidi kama wataweza kuongoza hii round ya pili mradi TSCP kwa mafanikio.Kwa project hizi naiona kabisa Ilemela ikienda mawinguni Nyamagana ikibaki matopeni,, yaani
Malengo gani unayosema,, mpaka hapa hakuna kitu cha uongo au uchochezi kilichoongewa hapo,, kama huamini jaribu kufika maeneo husika ujionee kinachozungumzwa,,Hii thread kama imeanzishwa na MTU mmoja ama watu fulani kwa lengo Fulani.
Nikiangalia kwa haraka haraka ID za mleta mada na wachangiaji watano wa mwanzo naona wote ni ama Member au Senior member
Angel Mabula namkubali sana anajua anachokifanya tumpe muda zaidi,,Mkuu Nyamagana wanaproject ya Barabara kubwa Igoma-Kishiri-Fela (2 way) na hiyo ya Kishiri - Kagera / Buhongwa naona mpango wa pesa na fidia bado haujaeleweka tu. Above all Mama Mabulla na Mkurugenzi wake John Wanga nitawakubali zaidi kama wataweza kuongoza hii round ya pili mradi TSCP kwa mafanikio.
View attachment 1411965
Inamaliziwa kujengwa, inatokea kijeresh pembeni mwa VETA.Duh! nimeshangaa kuona barabara ya Nyakato-Buswelu haijakamilika!!!
Mbona kuna kipindi walikuwa wanajenga barabara hiyo!!
Nimetoka mwanza miaka mi3 iliyopita nilijua imekamilika kumbe horaa
Sent using Jamii Forums mobile app