The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Unajua usijifanye kuanza kuchekahahahahaha!
Ndio nini sasa!
Unajua usijifanye kuanza kuchekahahahahaha!
Ndio nini sasa!
Unajua usijifanye kuanza kucheka
Kwani unataka??aii wewe, niambie mwenzio sijui.
Kwani unataka??
Hebu angalia hapo juu ya mezanataka ndio.
Nizitoe wapi mie.Yani kila nikisikia vinavyosifiwa moyo wangu unasinyaa!Ahaaa ahaaaa wewe si una DIMPLES banaaa
Ahaaaa ahaaa na hayo macho yako kama GOLOLI unajua kuna watu wanayapenda l.o.lNizitoe wapi mie.Yani kila nikisikia vinavyosifiwa moyo wangu unasinyaa!
Niringe?Naambiwaga macho kama mwizi!Ahaaaa ahaaa na hayo macho yako kama GOLOLI unajua kuna watu wanayapenda l.o.l
Duh!! Macho kama mwizi tena l.o.lNiringe?Naambiwaga macho kama mwizi!
Duh!! Macho kama mwizi tena l.o.l
Wanaosema hivo hawajui hayo macho ya helaNiringe?Naambiwaga macho kama mwizi!
Akiwa na mwanya na dimples anakuwa mrembo zaidi!
Haha jamani mbona mwanichekesha; sisi kwetu mwanya ni trade mark; bibi yangu mzaa mama alikuwa na mwanya mdogo san, alipozaliwa mama yangu mwanya ukaongezeka maradufu. Akatuzaa watoto 7, wavulana 5 na wasichana 2 wote mwanya kwa kwenda mbele wakatii baba hana mwanya. Mimi nikaolewa na mwanaume asiiye na mwanya, watoto wangu wote wawili kike/kiume mwanya wa nguvu.
Ninachotaka kusema sijaona huu mwanya umetufanyia nini. Hata kwenye usichana wangu sikuwahi kutongozwa mtu akasifia mwanya wangu walinipenda tu kwa sababu wananipenda ila mwanya haukuwa subject ya kupendwa.
Nafikiri kila mtu ana upeo wake kuhusu mwanya au hao waliousifia kwa ndani wanaweza kutusaidia.
Olalaa..mimi sina mwanya Mbu!..ila wanapendeza wenye mianya hiyo!!Haya tusio na mwanya ndo tunatengwa hivyo.
Kesho kutwa miguu nayo itasemewa...na mikono...na kiuno.Tusio navyo vyote tulie tu!:disapointed:
Kuna watakaokuambia hii ni kero na wanafanya mazoezi kuondoa au hata operation kabisa. Hivyo ndio tujue kuna individual preferences jamani.
Bottomline - nobody can say kuna kipimo standard cha uzuri.Kila binadamu ni mzuri kwa jinsi alivyoumbwa na mola wake.Majadiliano ya kuponda maumbile ya watu iwe ni mitaani au kwingineko huweza kuwafanya watu wakakosa confidence.Kumbe basi inapotokea kwamba watu wanaongelea kwa namna chanya basi hupandisha kujiamini na hii imejidhihirisha hapa.Tunaona wengi wakifurahi kuona kumbe mwanya ni kitu kizuri!
Hongera Mbu kwa ku boost confidence za watu.Ingependeza ukaanzisha mada kama hizi ili tujadili more appreciatively, mathalani uzuri wa watu tipwa tipwa, weusi tii, wembamba sana, warefu, wafupi, wenye miguu myembamba nk.
Mbu wengine wana mwanya utadhani mapengo
Bwana me huwa napata shida sana, mwanya nnao ila nadhani unawafaa sana dada zetu lakini wanaume kuwa na mwanya hapana, kila nkicheka na mtu akanambia "una mwanya" jamani nafumba mdomo haraka sana hata sijui kwanini. Ila wanawake wenye mwana mnapendeza!
Itabidi nikachonge meno pale Butiama kwa Mwalimu Nyerere kama ndo hivi ....Mbu
Okay, sasa mimi nataka kuona vidole vyako vya miguu na vya mikononi
Wanaosema hivo hawajui hayo macho ya hela
acha uongo.