...Big up kwa wanawake warembo wa JF wenye mwanya (kama mpo, ni warembo mjitambue.) W'wake wenye mwanya Mnapendeza sana. Halafu, wote niliobahatika kukutana nao (wenye mwanya-mdomoni) ni warembo tosha.
Nini mtazamo wako?
ha ha ha mbu bana mzee wa kufyonza!!!! Mi kwa upande wangu mwanya huwa nauchukulia kama dental formula disorder! K hiyo nmi nikimuona dem ana mwanya naona kama mgonjwa wa meno.
Mbu,
"Uzuri" wa mwanya umekuwepo miaka mingi.Wanawake wa kiafrika wenye mwanya huonekana kama warembo asilia sijui dhana hii ilitoka wapi!
Wazungu nao hivyo hivyo wana misemo yao - mwanya huita "dents du bonheur" ikimaanisha teeth of happiness!
Lazima kuna siri ndani yake!
Hebu tungoje tusikie wengine wanasemaje.
Mmmmmhhh mwanya??? Ukimaliza uje na miguu ya bia, makalio, manyonyo nk
Thanks Tausi Mzalendo.
Angalau wewe tupo ukurasa mmoja.
"lucky teeth" kwa tafsiri ya kifaransa.
Binafsi nishaskia tafsiri nyingi Uswahilini mtu anapokuwa na Mwanya.
Inawezekana ni dhana tu, lakini wengine utaskia "Loh, Mumeo ana Mwanya? ...ana ulevi wake huyo!"
Kwa wanawake utaskia, "Mnh, mdada yule ana Mwanya bana, si mchezo!..."[/I]
Ufafanuzi zaidi hapo, plz! Kitu gani chengine anahusishwa mdada mwenye mwanya mbali ya uzuri?
Duh mbona mamtoni wanachukulia kuwa na mwanya ni ukilema fulani hadi wanaweka ule waya kuziba pale,ila ahsante sana
...Big up kwa wanawake warembo wa JF wenye mwanya (kama mpo, ni warembo mjitambue.) W'wake wenye mwanya Mnapendeza sana. Halafu, wote niliobahatika kukutana nao (wenye mwanya-mdomoni) ni warembo tosha.
Nini mtazamo wako?
Gaga una mwanya nini? Wow! ...wa mamtoni wana kasumba zao. si unaona hata Condoleeza Rice na Madonna hawajaziba urembo wao asilia
Tausi tru dat nilifikiri ni mimi peke yangu nimewaona hao.Ongezea Vanessa Paradis mkewe Jonny Depp na Binti yake Mick Jagger - mwanamitindo