Lowassa ndiye Don Corleone wa siasa Bongo. Yeye na Rostum.Pamoja na malengo mazuri na ushupavu anaokuwa nao Kubenea, lakini ukweli unabakia kuwa ana agenda ya siri dhidi ya Lowasa. Sioni ni kwa vipi Lowasa alistahili kubeba kichwa cha habari hii. Mi nadhani mwanahalisi wanaweza kupotosha umma kwa kuonyesha kuwa ndani ya nchi hi ufisadi=Lowasa. Wapo wengi mafisadi ambao bado wapo na nyadhifa zao ambao gazeti linaweza kuwavalia njuga, na si Lowasa tu ambaye by the way hayupo tena madarakani...