Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Mi niko relaxed kabisaa, wala sina chembe ya wivu. Simfuatilii na hata simu yake sishiki, lakini sio zoba, siku akijikanyaga nikigundua tu wala hakuna ugomvi, yaani biashara ndio imeisha. Namwambia dada we nenda kafaidi, sitaki gozigozi.
 
Aisee imenikumbusha mbali hayo mambo ya wanaume kuwa na wivu siku hiyo napiga stori na rafiki yangu ananiambia huko anakoishi kuna mwanaume yaani mkewe akienda mjini basi akirudi anataka avue nguo zote kisha apande kitandani amuangalie kama hajatoka kuchepuka.

Wivu unatakiwa ila wa kiwango kama hiki ni utumwa aisee. Wanaume punguzeni wivu jamaani.

Duuhh,,hiii ni kali
Sasa anaichunguza hio papuchi kwa kutumia darubini au kaifungia mita labda itamwonesha[emoji3]
Kweli wanaume wengine Nusu Chapati Chai Ya Rangi[emoji1321]
 
U
Mkuu..
Wivu wa namna hii unaitwa KUTOKUJIAMINI...
Wanawake msikubali kuingia kwenye mahusiano na mwanaume asiyejiamini..ni mzigo kuliko doza la maji taka..
Ukikuta mkeo anachat na dume jingine kimahaba kimya kimya utaacha kumuuliza kisa atakuona hujiamini? Maana hiki ndio huzalisha wivu
 
Mimi labda uwe Girlfriend wangu sitagusaa simui yakoo hata nkiona Msg sitakuulizaa Walahiii...!!

Ilaa Kama nimekuoaaa... pambafuuuu utajua kama ni wivu au ni upendooo.. nikuhisi tuu kwanzaa hapatatoshaa..!! Wanawake naona mnakomalia etiii wivu ukizidi unakeraa... Unataka ugawe papuchi tuu..shenzii
Mimi ni opposite hapo, ukiwa mke wangu ndio sintokufatilia fatilia wala, labda ukianza pigo za ujeuri. Kama umalaya fanya tu sitawaza ila kuwa GF halafu una dalili za kutombesha aisee hapatatosha. Sijui una flirt around na njemba zingine kimya kimya halafu nijue walahi utanichukia. Ni makofi tu na kama husikii ni kupigwa chini tu.
 
tatizo ni pale unapofikiria unavyomkunja na kule ndivyo anavyokunjwa hivyo hivyo au zaidi au wewe humli tigo halafu unasikia jamaa anayetembea naye ni mtalaamu wa kula tigo inauma ila nahisi wivu unaendana na mapenzi au
Hahahahah na hili ndio pigo kubwa kwetu sie wanaume. Mwanamke akikusaliti ni tafsiri mbaya kwetu kuwa humtoshi aidha kifedha ama kimwili na kihisia. Ugonjwa wa moyo
 
Hahahahah na hili ndio pigo kubwa kwetu sie wanaume. Mwanamke akikusaliti ni tafsiri mbaya kwetu kuwa humtoshi aidha kifedha ama kimwili na kihisia. Ugonjwa wa moyo
Wenginee ni Umalayaaa tuu...!! Hata uligo......vipi litaendaa kuchepuka na ukute amezoea kuliwa tigo afu wew hujuii mbona mpka mtaachana hawezi achaa kwenda kugongw... tenaa anaweza mlipa mpka helaa jamaa amleee... Kama kuna mke wa mwanajeshi alifumaniwa na vidume viwili vyote vinamlaa kwa pamojaa... Maponoo piaa yanawaharibuu na wanapendaa sanaa kuangalia..
 
Duuhh,,hiii ni kali
Sasa anaichunguza hio papuchi kwa kutumia darubini au kaifungia mita labda itamwonesha[emoji3]
Kweli wanaume wengine Nusu Chapati Chai Ya Rangi[emoji1321]


Anachunguza kama kuna utelezi, maana kama kaliwa muda mfupi uliopita hata akijaribu kuingiza ngumi lazima izame yote bila kigugumizi.
 
Aya mambo ni tofaut san!
Nilikuwa na mtu anadai simuonei wivu so simpendi.......
Kiukwel ni mtu nilikuwa nampenda ila hizo tuhuma sivyo,wnaume wengine tunajua maan ya stress ni pale unapojipa nguv nyingi kumchunga mwanamke ina kukosti san.
Ni kweli kabisa wala si uwongo unachosema...yaan mwisho wasiku huwa unaumiya mwenyewe
 
yaan mtihani ambao bado hatujafaulu wanaume ni hicho kiungo cha mwanamke, sijui kuna nn hapo, kitu chake mwenyewe akikitoa wanaume tunanuna, yaan kilivokakaa tu akiendani na bururani itokayo
hahahahhaa umenichekesha sana
 
Mi niko relaxed kabisaa, wala sina chembe ya wivu. Simfuatilii na hata simu yake sishiki, lakini sio zoba, siku akijikanyaga nikigundua tu wala hakuna ugomvi, yaani biashara ndio imeisha. Namwambia dada we nenda kafaidi, sitaki gozigozi.
yaan hapo ndo utaishi kwa amani ila si kwa kufatiliana kila wakat aisee ni hatar
 
Kutana na mtaaalamu wa mitishamba anatibu ugumba uzazi nguvu za kiume ...kukuza na kurefusha uume..kuongeza hips na makalio..uti sugu..magonjwa ya ini ..hepatitis b na a..kisukari..figo moyo..ulinz wa ndoa..mtoto kutembea ..tiba ya mazezeta ..mpigie dr 0744903557 tanga
 
Wanawake wa siku hizi bana..

Yani we tokea uvinje ungo unakata mauono....Sekondari umemalza darasa zima...Advance unagawa nyuchi tuu....Chuo ndio usiseme....Kazini ndio balaa....

Halafu nije nikuone eti nikuridhishe.. ?? Huo si utani.. ???
Umegonga ikulu mzee...
 
Back
Top Bottom