Wivu ni Sunnah ila inapofika mahali tukaufanya fardhi ndio tunapoharibu hasa kwa sisi wanaume,
.wapo wanaume wamekosa Amani na kila mtu hamwamini rafiki ndugu jamaa wala nani ,na wala hana imani na yule mwanamke alokuwa naye...
Sasa huwa najiuliza kama unaishi na mtu humwamini kwa vitu vidigo ,umeamuwa nini kuishi nae...wakat ndoa mahusiano yanajengwa na uwaminifu na kujichunga...
Mwanamke si mtu wa kuchungwa utapasua kichwa chako buree ,ukashindwa kufanya mambo yako..
Swala hili kwa baadhi ya wanaume kuwa na wivu wakijinga wamesababishwa kuchapiwa na baadhi ya watu ambao wanawahisi kuwa wana mahusiano na watu wao,wakati mambo yako kinyume kabisa..
Nimeshuhudia wanawake wengi wakiwatunuku wanaume papuchii kwa kuchokwa kila siku kusakamwa kwamba wanatembea na fulani wakati sio,basi hujikuta wakiwapa kweli ili kupunguza machungu...
Usia wangu kwenu wakiumeni mwenzangu ,wivu ni Sunnah ila tusiuzidishe maana baada ya kujenga huwa tunabomowa...