Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Mkuu you are right..ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wivu kupita kiasi
Asa zinavunjikaje wakati ndo muda wa kuchunga mipaka huku ukiwa unajua movements zako mwenzio anazitazama kwa makini
 
Kuna jamaa mmoja aliyekuwa katibu mkuu Wa simba alikua anahisi natembea na mke wake kitu ambacho hata sikuwahi kumfikilia huyo mke wake ilifika siku naamka asubuhi nagongewa na defender nje eti jamaa anadai nimeingia kwake na kuiba na wakati hati geti Iake sijawahi kuvuka, kilichofuatia nikaamua kufanya kweli, mke wake mwenyewe slope nimegusa imo, cku hizi huwa napiga hadi kwenye manyasi, mke ananisubir hadi ucku nirudi tupige kimoja ndo akalale, anatoka nje fasta nambinua ukutani, salamu zako x-general secretary wa simba, ile ulivoniweka ndani ukijisifu unamtandao mkubwa nchini sasa leo hii najigongea tu mkeo!
 
Kuna jamaa mmoja aliyekuwa katibu mkuu Wa simba alikua anahisi natembea na mke wake kitu ambacho hata sikuwahi kumfikilia huyo mke wake ilifika siku naamka asubuhi nagongewa na defender nje eti jamaa anadai nimeingia kwake na kuiba na wakati hati geti Iake sijawahi kuvuka, kilichofuatia nikaamua kufanya kweli, mke wake mwenyewe slope nimegusa imo, cku hizi huwa napiga hadi kwenye manyasi, mke ananisubir hadi ucku nirudi tupige kimoja ndo akalale, anatoka nje fasta nambinua ukutani, salamu zako x-general secretary wa simba, ile ulivoniweka ndani ukijisifu unamtandao mkubwa nchini sasa leo hii najigongea tu mkeo!
hahaha niko mbioni kukufata tena na difender sio kwa kufaidi huko[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Pole mwaya mchepuko wangu...

MBITIYANZA Umeanza lini zereu lakinii...
Mtake babu radhi, ako na mke wake Sky na mie mchepuko ujue!!!


hahahaha narudia tena samahani sana !klumbe we mchepuko wake?? sasa wewe Asprin zile pm za mausku ya manane huwa unatoka kwa sakayo au? nakumbuka mara ya mwisho umekuja pm saa9 ukanitumia picha upo fairway
 
hahahaha narudia tena samahani sana !klumbe we mchepuko wake?? sasa wewe Asprin zile pm za mausku ya manane huwa unatoka kwa sakayo au? nakumbuka mara ya mwisho umekuja pm saa9 ukanitumia picha upo fairway
Eeeh
Yamekuwa hayo tena jamani... Ko tuko wangapi shougaa

Cc Asprin
 
Ukiona hivyo ujue tu mume na mke wote ni wazee wa kuchepuka,soo anahisi anavyochepuka yy na mwenzake anadhan anachepuka
 
Back
Top Bottom