Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Kubebana niniii.wanaume bwana.wanapenda awala kuliko wake zao.atamkibebana vip wewe hacha tu.
 
Wivu ukipita kiasi hua ni maradhi, tena mabaya! Kumvua chupi mkeo ili umkague, kukaguakagua simu yake, kumpiga eti kwajili unawivu nae ni udhalilishaji wa hali ya juu, na nitashangaa kama kuna mwanamke wa kileo anakubali afanyiwe hivo. Wivu wa kiasi ni dalili ya kupenda mtu ila ukizidi na kugeuka udhalilishaji utasema hayo ni mapenzi?
Kama haumuamini mwenzio kiasi hicho unaishi nae wanini sasa? Tafsiri yake ni kua umemuona ni chupi mkononi na anaweza kufanywa wakati wowote, popote na yoyote. Umemtoa utu wake kwamba hana maamuzi yake ila wewe ndio unafikiri kwa niaba yake!
Ugonjwa wa wivu kupindukia dawa yake ni kufanyiwa vitu vya makusudi hadi akili ikae sawa
Sana kabisaaa ,maana umezungumza maneno yenye maana na afya tele...yaan mwanamke ukimchunga kinachofata ni kukufanyia kusudi maana sikashakujua udhaifu wako lazima akurushe roho
 
mkuu ukilegea umechapiwa! utasikia naenda kwenye kitchen party, kwenye birthday mara kwenye kombe hizo ndio dalili za mwanzomwanzo, ukaguzi wa kushtukiza ni muhimu sana, ukicheka na nyani utavuna mabua, kuna dogo anatafuniwa hapa jirani mpaka unamuonea huruma
Wewe ndo unaakili mwanamke hachingwi utakufa kwa maradhi
 
Yaan mwanamke hachungwi babu yangu aliniambia ...huwa akilitaka lake huwa hawashindwi
tatizo ni pale unapofikiria unavyomkunja na kule ndivyo anavyokunjwa hivyo hivyo au zaidi au wewe humli tigo halafu unasikia jamaa anayetembea naye ni mtalaamu wa kula tigo inauma ila nahisi wivu unaendana na mapenzi au
 
Wewe ndo unaakili mwanamke hachingwi utakufa kwa maradhi

andika vizuri kwanza, nnazo au sina akili? maneno ya kuambiwa vijiweni changanya na akili yako, au umeoa wale wanawake wanaosafirisafiri mbali na nyumbani endelea kujifariji kuwa mwanamke anajichunga mwenyewe!
 
tatizo ni pale unapofikiria unavyomkunja na kule ndivyo anavyokunjwa hivyo hivyo au zaidi au wewe humli tigo halafu unasikia jamaa anayetembea naye ni mtalaamu wa kula tigo inauma ila nahisi wivu unaendana na mapenzi au
hahahaha ni kweli wivu unaendana na mapenzi
 
mkuu ukilegea umechapiwa! utasikia naenda kwenye kitchen party, kwenye birthday mara kwenye kombe hizo ndio dalili za mwanzomwanzo, ukaguzi wa kushtukiza ni muhimu sana, ukicheka na nyani utavuna mabua, kuna dogo anatafuniwa hapa jirani mpaka unamuonea huruma
Ni kweli kabisa hatukatazi kumlinda mkeo ila isipitilize sana maana kuna watu mpaka wanatia karaha....


Dogo anachapiwa kisa nini
 
hahahaha ni kweli wivu unaendana na mapenzi
sasa kwa nini Mapenzi yanageuka kuwa chanzo cha kuchapiwa na dharau ndani hasa ukiwa unamuonyesha kumpenda mwanamke na kumjali?
Au hawa viumbe wanataka nini
 
sasa kwa nini Mapenzi yanageuka kuwa chanzo cha kuchapiwa na dharau ndani hasa ukiwa unamuonyesha kumpenda mwanamke na kumjali?
Au hawa viumbe wanataka nini
Unajua kila kitu kinatakiwa kiwe kwa kiasi.mapenzi ukizidisha sana huwa ni kero maana huzaa vitu vingi vya ajabu ikiwemo wivu uliopitiliza...

na mwanamke hatakiwi kuonyeshwa sana mapenzi atakusumbuwa
 
Aya mambo ni tofaut san!
Nilikuwa na mtu anadai simuonei wivu so simpendi.......
Kiukwel ni mtu nilikuwa nampenda ila hizo tuhuma sivyo,wnaume wengine tunajua maan ya stress ni pale unapojipa nguv nyingi kumchunga mwanamke ina kukosti san.
 
Unajua kila kitu kinatakiwa kiwe kwa kiasi.mapenzi ukizidisha sana huwa ni kero maana huzaa vitu vingi vya ajabu ikiwemo wivu uliopitiliza...

na mwanamke hatakiwi kuonyeshwa sana mapenzi atakusumbuwa
level ipi inahitajika ya mapenzi kwa Mwanamke wa Kichaga, Kinyaturu, Kimakonde, Kimburu, Kirangi,kigogo,kizaramo kimakonde, kisukuma, mha, mtusi wa Bukoba au mhaya, mpogoro mhehe mnyakyusa mbona kama naona vilio vyao ni hivyo hivyo na reactions zao zinafanana za kukubali kuchapwa?
 
Wanawake wa siku hizi bana..

Yani we tokea uvinje ungo unakata mauono....Sekondari umemalza darasa zima...Advance unagawa nyuchi tuu....Chuo ndio usiseme....Kazini ndio balaa....

Halafu nije nikuone eti nikuridhishe.. ?? Huo si utani.. ???
Maneno umemaliza mkuu.
Ukwel kasoro kila b..o..o kakutana nalo na staili ngumu kumeza wew utaanzaje kumubutua mpk afike
 
inakera sana jman !afu akiwa 'hohehahe' bed kama Asprin mke unakuwa na hasira na mihemko daily !mxiew! nimecheka nimekusoma sehem umesema ww unaumwaga kiuno !hahaahahah shoga we mapenz unayapa kipaumbele had raha ! mie wala !BARAFU
Twafanana mwenzangu ila shoga kidawa kapeace ni nomaa😀😀
 
Aisee imenikumbusha mbali hayo mambo ya wanaume kuwa na wivu siku hiyo napiga stori na rafiki yangu ananiambia huko anakoishi kuna mwanaume yaani mkewe akienda mjini basi akirudi anataka avue nguo zote kisha apande kitandani amuangalie kama hajatoka kuchepuka.

Wivu unatakiwa ila wa kiwango kama hiki ni utumwa aisee. Wanaume punguzeni wivu jamaani.
Si naangalia tu kwani tatizo liko wapi?
 
Wanawake wa siku hizi bana..

Yani we tokea uvinje ungo unakata mauono....Sekondari umemalza darasa zima...Advance unagawa nyuchi tuu....Chuo ndio usiseme....Kazini ndio balaa....

Halafu nije nikuone eti nikuridhishe.. ?? Huo si utani.. ???
Mkuu asante kwa kumaliza kila kitu
 
yaan mtihani ambao bado hatujafaulu wanaume ni hicho kiungo cha mwanamke, sijui kuna nn hapo, kitu chake mwenyewe akikitoa wanaume tunanuna, yaan kilivokakaa tu akiendani na bururani itokayo
 
Back
Top Bottom