MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
Ukitoka ofisini unakaguliwa simu na pochi
JAMAN nachukia sana hizo tabia za kitoto !lakin ndo wanachapiwa tu
Ukitoka ofisini unakaguliwa simu na pochi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe barafu hahahahaa menopause inagonga hodi,[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]inakera sana jman !afu akiwa 'hohehahe' bed kama Asprin mke unakuwa na hasira na mihemko daily !mxiew! nimecheka nimekusoma sehem umesema ww unaumwaga kiuno !hahaahahah shoga we mapenz unayapa kipaumbele had raha ! mie wala !BARAFU
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe barafu hahahahaa menopause inagonga hodi,[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Napenda kiasi chake sio kiivo hizi story tu mamiii
Wana wivu na ni ma fa fa fa kuchapiwa nje njeJAMAN nachukia sana hizo tabia za kitoto !lakin ndo wanachapiwa tu
Ndo nashangaa!! Hapana tunatofautiana hatuwezi kufanana so usijisikie vibayahapana sex nzuri ni nzuri sana ujue !kwanza unaonekana kijana tu !ah mayb menopause shoga !hahahaa menopause at 32!!!!!!!!pathetic
Wana wivu na ni ma fa fa fa kuchapiwa nje nje
Ndo nashangaa!! Hapana tunatofautiana hatuwezi kufanana so usijisikie vibaya
Na Mara nyingi hawapo romantic kabissaaaaaa so ni rahisi kwa wake zao km mtoa mada alivyosema kugawa mechi kwa hasirahahahhahahhahaa uwiiii mbombo jilipo !jaman kuna wanaume wemye wivu hii dunia !hata koka unaiona chachu !ole wako uende toilet ukasahau ukabeba simu utajuuta !ole wako jiran mwanaume akuangalie utajuuutra!yaan ova anakufananisha na mdangaji
Na Mara nyingi hawapo romantic kabissaaaaaa so ni rahisi km mtoa mada alivyosema wanaenda kugawa mechi kwa hasira
Anakuja kanisani kusubiri mida ya kutoka then anapiga uje ujifanye eti haupo eneo la tukio!!! Utajutahahahaa mie huwa nasema labda anajihis hafananii kuwa na mkewe au ni vipi ? yaan km mapenz ya form 4 bwana ! yanakera sana !jingine unaaga unaenda churuch ukifika muda fulan unaona call yake !SASA USIPOKEE
Asante mkuu kwa kunielewa maana kuna watu watabisha kwa hiliMkuu you are right..ndoa nyingi zinavunjika kwa sababu ya wivu kupita kiasi
hahahahahVyote tu usiwe nao uwe nao km on bed ni fa fa fa fa andaa dawa ya maumivu
hahaha umeona eeeeh
maana si wanajua jinsi wao wanavyofanya na ndomana wanakuwa hawajiamini wanahisi na wenzao hivyo hivyoAisee ina kela sana wanaume weng wenye wivu kupita kias weng wao wanakuwa hawajatulia
umeona eeeh ,yaan mwanamke ukimfanyia hivi hata kama hana nia ya kuchipuka utamfanya achipuke tuAisee imenikumbusha mbali hayo mambo ya wanaume kuwa na wivu siku hiyo napiga stori na rafiki yangu ananiambia huko anakoishi kuna mwanaume yaani mkewe akienda mjini basi akirudi anataka avue nguo zote kisha apande kitandani amuangalie kama hajatoka kuchepuka.
Wivu unatakiwa ila wa kiwango kama hiki ni utumwa aisee. Wanaume punguzeni wivu jamaani.
Anakuja kanisani kusubiri mida ya kutoka then anapiga uje ujifanye eti haupo eneo la tukio!!! Utajuta
Nimekupata vizuri ila tusisahau pia kuwahusisha hawa wanawake kwenye suala hili la wivu maana wapo ambao wana wivu more than too much mpaka inakuwa keroAsante mkuu kwa kunielewa maana kuna watu watabisha kwa hili
Ni kweli kabisaWivu..Hua unaumuhimu wake but uwe wivu wenye tijaa..
Mimi/sisi kama wanaume tunapaswa kujiwekea malengo kwanza, kwanini upo na huyo mwanamke ulie nae na msaada wake kwako ni upi yanii utafaaidikaje..then mpatie huyo mwanamke hayo malengo yako..
Kama akikusalitiii nakuakikishia, huyo mwanamke atakivuna kwa meno alichopanda..vilevile na upandewetu wanaume..
Tutimize wajibu wetu wadau..hakuna sababu nyingine
Kweli kabisa mkuu. Wivu unapaswa uwe wa kiasi aisee.umeona eeeh ,yaan mwanamke ukimfanyia hivi hata kama hana nia ya kuchipuka utamfanya achipuke tu