Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Mwanaume wivu unapozidi Unasababisha Tunachapiwa

Mimi mwenyewe nachepuka balaa, sasa nguvu ya kumuonea wivu mke nitapata wapi!!? Cha msingi ahakikishe na mimi napewa k bila vikwazo baaasi. Ila nikichepuka condom muhimu sana
 
Kuna jamaa mmoja aliyekuwa katibu mkuu Wa simba alikua anahisi natembea na mke wake kitu ambacho hata sikuwahi kumfikilia huyo mke wake ilifika siku naamka asubuhi nagongewa na defender nje eti jamaa anadai nimeingia kwake na kuiba na wakati hati geti Iake sijawahi kuvuka, kilichofuatia nikaamua kufanya kweli, mke wake mwenyewe slope nimegusa imo, cku hizi huwa napiga hadi kwenye manyasi, mke ananisubir hadi ucku nirudi tupige kimoja ndo akalale, anatoka nje fasta nambinua ukutani, salamu zako x-general secretary wa simba, ile ulivoniweka ndani ukijisifu unamtandao mkubwa nchini sasa leo hii najigongea tu mkeo!
Wewe ndo unakula mali ya Kaduguda, ok ngoja jamaa afanye mambo!
 
Mmmmh
Naona mmeichoka amani!!
Unajua huyu nlimtongozaga enzi za ujana wangu akanikatalia. Sasa kaona nimepata pensheni anajifanya eti naye anataka pombe wakati mimi siku hizi nakunywa maziwa.
 
Back
Top Bottom