BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,024
- 4,305
Sifa zangu zipo kwenye makundi yote mbona depending na mood nayokuwa nayo,,, je mimi utaniweka wapi?
Mondi na bakresa unawazungumziaje?Picha inajieleza View attachment 2520320
Wanakula hao balaa
Hamezungumzia majority ndio maana kasema WANAUME kwaiyo hajamaanisha hamna WANAUME wenye ela wasiopenda kula ila Kwa Asilimia kubwa maskini NDIO wanakula sana ata msibani wa kishua mtu anapiga round tatu Kwa bufee dadekiKuna mtu huyo namfaham ana pesa anakula huyoo breakfast tu 50000 peke yake bado mchana na na usiku
Muuza ice-cream hanaga makeke wala huwa hatafuti kiki.Mondi na bakresa unawazungumziaje?
Utauficha Hadi lini ,mtuumaridadi huficha umasikini
umaridadi huficha umasikini
Hapo lazima Kuna kundi utakuwa unakaa ndani Yake kea muda mrefu kuliko lingine, then you'll be probably classified in that groupSifa zangu zipo kwenye makundi yote mbona depending na mood nayokuwa nayo,,, je mimi utaniweka wapi?
Mkuu umaskini na utajiri wa level zip kwa sababu kuna mtu unamwona ni maskini kabsa, ila kwa kijijini kwao yeye ni tajiri na nimfano wa kuigwa kwa kila mwnakijiji.
Sawa sawa mkuu.Hapo lazima Kuna kundi utakuwa unakaa ndani Yake kea muda mrefu kuliko lingine, then you'll be probably classified in that group
Nimekupata mkuuMaskini Ni maskini tu na tajiri atajulikana tu sio lazima ajieleze