real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,302
nakumbuka nikiwa mdogo mama alinunua kitenge, dada akashona nguo, kikabaki kipande wakasema nishonewe shati...nikasema akaaaaaa, wakanishangaa kweliKanga na vitenge ni mavazi ya kike hata kama yakishonwa vipi.....