kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 20,256
- 13,263
Eeeh ni gauni hilo nadhani ikifika jioni anavua ile tight anabaki na gauni si unaona lina mpasuo kwa mbeleHiyo Kama ya kike au macho yangu....!??
Eeeh ni gauni hilo nadhani ikifika jioni anavua ile tight anabaki na gauni si unaona lina mpasuo kwa mbeleHiyo Kama ya kike au macho yangu....!??
Dar hakuna wanaume washamba,huyo unaemuna hapo ni miongoni mwa wagombania sodaWakuu huko dar ndo wanaume wanavaaga za kike?
Wanaume wa dar mna mbwembwe sana halafu ni magoi goi kila sectorHizo fashen ni za kisukuma,wakisimama wanaume smart na wenye kujua kutupia utawajua wasukuma na wanaume wa dar,huyo ngosha apo kajiona katupia
Ila hatugombanii soda tena pepsi za motoWanaume wa dar mna mbwembwe sana halafu ni magoi goi kila sector
Gauni ya kike...!?hyo c gaun ya kike jaman....

Hiyo ya dadako kabisa....!Predict & win
MsogaIlianza Wasukuma, ikaja wanaume wa dar, what next?
Ni Mwanza tu hapo dar huo mshati utauvalia wapi na hili joto siutaonekana chiziNaomba mtoa mada atueleze hapo ni sehemu gani?
Wanasema katokea sinza kwa RemiAibu sana.... Hio pedo na huo mshati sijui katoka iringa... Au mby ...
Umeona eeh. Ila mi naona kama nje ya Tanzania!Ni Mwanza tu hapo dar huo mshati utauvalia wapi na hili joto siutaonekana chizi
A haha ahahahahahahaaaaaaa nimecheka sana mpaka machozi duhHio ni blauzi kabisa sema kaipimp kiaina ionekane kama nguo ya kiume