Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,228
- 68,243
Ilianza Wasukuma, ikaja wanaume wa dar, what next?
Hahahaaaa subiri bado kidigo yataisha.Robo ya kwanza ya mwaka, tumesakamwa, sasa tupo robo ya pili ya mwaka, bado tu, tuambieni tulipowakosea tuyamalize kiutu uzima!
Huyu huyu sheria wa wasira?Weweeee, muulize Sheria Ngowi, ndio designer...!
Ndo nani labda ni wa kike na yeye mwenyewe?Weweeee, muulize Sheria Ngowi, ndio designer...!
mwanaume wa dar uyoooooo hahahaaaaaaaaaaahyo c gaun ya kike jaman....
Mbona umepanick ndugu vipi hehehe kwani hujui hii jukwaa gani poleeeeUnamfahamu sheria Ngowi? unazifahamu kazi zake?
Kuwa makini na coment zako!
Unachafua brand ya biashara pasipokuelewa nini impact yake