lara 1, nashukuru kwa uhonest ulioonesha; haimaanishi wengine sio honest lkn kukubali unpopular choice I salute you.
Bado nasubiri michango ya wakaka na wababa wa MMU.
What is ur preference, wa kwanza au wa pili?
Watu wapo na wake zao humu!!! Wakichagua namba 2 hawapewi unyumba mwezi mzima!!! Japo moyoni KIPYA HAKINYEMI INGAWA NI KIDONDA!!!!!! Mimi kuna buzi langu humu likiona nimeopt 1 lisije kunitake for granted bureee, POSHO ZA JF SITTING ALLOWANCE ZIKAPUNGUA!!!! Jiwe nimerusha gizani ukisikia paaa ujue imekukosa!
Thanks kaka yangu wa ukwelii, nami nahisi wengi wanapenda kusumbuliwa sumbuliwa.
Ofcourse tunatumia karanga za kukaranga (kukaanga), una maanisha nini lakini?
Absolutely wa pili!!!! Competition muhimu wewe! Tatizo ukishaona mtu ni wako, automitically unaanza kumtake for granted, ila kukiwa na ushindani mkali akili inakaa poa! Even in bed they taste better, considering the work that you have put in to get them t
o bed with you!!!!! LMAO!!!!!!!!!!!!!
Wanawake wanao-Challenge ndiyo wanasababisha maendeleo makubwa kwa Wanaume zao.
(Nswalu, ninamaanisha ile mboga yenye Mlenda ndani. Nimepewa na sijui jinsi ya KUIPIKA. Nashukuru kwa jibu, kesho NSWALU kwa saaana.)
Kuna mama mmoja (in her 50s), mumewe ana wake 3; yaani she is so sweet, kind na caring (si mgomvi kabisa) ndio mke mkubwa, mke wa 2 ni mcharuko kwa kwenda mbele lkn ndio favourite wa huyo mbaba (ni muhasibu wetu).
So ktk story, Yule mama akaniambia, kuwa wanaume wanapenda watu wanaowasumbua na si wale waliotulia. Nikorefer uzi wa MwanajamiiOne wa juzi ndio maana nimeona niwaulize wanaume wa humu, watupe mtazamo wao.
Got you.
Umepewa ilishasagwa? I mean unga uliochekechwa? Kama ndio.
Tafuta peanut butter iliyo laini (American garden product ni nzuri), halafu changanya na unga ule wa nswalu.
Sigina pamoja (meza na chupa will do, najua mbehe huwezi pata). Mchanganyiko utengeneze pale green color, ni bora karanga izidi kuliko kuwa ndogo.
Heat the pot kwenye jiko (uwe na maji ya moto pembeni)
Weka donge la nswalu + karanga, then add hot water kidogo kidogo huku ukilikoroga (usisahau chumvi).
Ukipata ulaini kama uji then iache ichemke na ipunguze wepesi (layer ya mafuta itakuwa inaonekana juu).
Enjoy you ugali nswalu, upate na mtindi pembeni!
KARANGA ni za kukaanga yes, na si mbichi.
Sijapenda maelezo yako kutia kizungu na sijui mi-peanut butter ya maamerika gadeni, unaharibu kabisa ladha ya nswalu kabla haijafika mezani
Hapana, hiyo sio uchawi ni sayansi kimu hiyo! LOL
Duh, l take back my question n my comment.