Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,467
- Thread starter
- #41
Sijapenda maelezo yako kutia kizungu na sijui mi-peanut butter ya maamerika gadeni, unaharibu kabisa ladha ya nswalu kabla haijafika mezani
Nilikuwa namrahisishia kaka yangu, unajua wifi hawezi twanga na kusigina twili, halafu huko 'Sikonge' anaweza pata kinyole kilichohifadhiwa kwenye chupa tayari. LOL