King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Heeeeeeeeeee...Kumbe siku hizi umekuwa mtume na nambii??
Umerudi lini toka Nollywood kuwa ordained King'asti??
Babu DC!!
Naona mambo town hayaendi, nimeacha binduki nimeanzisha dini yangu na kitabu changu. Uje ujiandikishe kwenye daftari la zaka, nikiteua wazee wa baraza nikufikirie tokana na uzito wa sadaka. Ila kama pensheni ulishamaliza usije babu.
:bump2: