Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,878
- 4,877
- Thread starter
- #21
Wale waleeee kopo na mfunikoje wala ubuyu?
Wale waleeee kopo na mfunikoje wala ubuyu?
mkuu mpaka kuweka picha ni aibu, mwanaume kulamba!!!!!!kila siku tunasstza habar na pich
mkuu ukifanya hivyo 'mungu' wa dareselama atakufunga, sijui na yeye ni mwenzao???!!!We ujue kuna tofauti ya wavulana na wanaume, hao unaowaona ni wavulana halafu ukikutana na mvulana wa hivyo mpore halafu mzibe kelebu moja ondoka
Umesema INAMUNG'UNYWA mara unasema kuna dhambi gani WAKILA, kumbe haya maneno siku hizi yana maana sawa...Chocolate hailambwi...inamung'unywa.....
Halafu kuna dhambi gani wakila chocolate
mkuu vipi wew huwa unalamba?nawaona nawaona mapuvu yanawatoka
inafanywaje mkuu? tuambieni ninyi wazoefuChocolate inalambwa?!
astakhafifulahUtafikiri wanaliwa jicho
Chocolate unaijua mkuu?inafanywaje mkuu? tuambieni ninyi wazoefu
Mkuu naifahamu maana shemeji yako anaipenda sana huwa namnunuliaChocolate unaijua mkuu?
Hizi tuhuma zinakwenda moja moja kwenu wanaume wa Dareselama...
Hii tabia ya kulamba chocolate imekaaje? yani nauliza kidume na mindevu yako umeng'ang'ana na chocolate inakuaje yani..
Hii tabia inezidi sana Dar mpaka inakera aisee, habari ya kulamba lamba muwaachie wanaopaswa kufanya hivyo... Mnatuaibisha vidume wa kweli.
mama mpaka huku huwa unafika?Inaonesha hata chocolate huijuwi, toka lini chocolate ikalambwa? Labda ungesema shikirim ya chokoleti (chocolate ice cream) ningekuelewa.