Labda mimi ni mlafi au mshamba, ila sijawahi kubakisha hata tonge moja la chakula cha Sh 2,000/= - 3,000/= cha kupimiwa kwenye sahani. Sasa napata maswali mengi na wakati mgumu ninapomuona mwanaume anashindwa kumaliza wali au ugali na wengine hata chipsi mayai hubakisha kiasi.
Hivi ni kwa nini? Au ndio ameshiba? Au ana haraka?
Ataweza kazi za kiume huyu za kufikisha watu kileleni kweli?
Hivi ni kwa nini? Au ndio ameshiba? Au ana haraka?
Ataweza kazi za kiume huyu za kufikisha watu kileleni kweli?